Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,666
- 106,828
Tatizo si ubahili.Wanaume sio bahili Jamani wakipenda
Tatizo kuna wanawake wanafanya kudanga kazi yao.
Tatizo si ubahili.Wanaume sio bahili Jamani wakipenda
ah wapi, nishakamua zangu kadhaa ndanisidhani kama hawa wanambabaisha
Kuna wachache wenye pesa nyingi ila madomo zege ndio wanatuharibia mkuu😭Hata kwa upwiru usawa huu mwanamme ndiye anafukuziwa na mwanamke.
Mnakosea wapi?
😁😁 sema hyo kitu unakuaga na vijizarau fulani hivi.ah wapi, nishakamua zangu kadhaa ndani
nikitoka naona hawana jipya
Sasa hivo 9nekuwa kama utamaduni.Kuna wachache wenye pesa nyingi ila madomo zege ndio wanatuharibia mkuu😭
😀😀Ofis inayotembeaTatizo si ubahili.
Tatizo kuna wanawake wanafanya kudanga kazi yao.
Kuna mwamba alisema ni bora kununua wale official kabisa , kuliko hawa wa kuwahudumia.Sasa hivo 9nekuwa kama utamaduni.
Kila kitu jibu lake ni "tafuta pesaa".
More like "Ofisi inayotombea".😀😀Ofis inayotembea
Huyo kapiga "Cost Benefit Analysis" ya level ya MBA.Kuna mwamba alisema ni bora kununua wale official kabisa , kuliko hawa wa kuwahudumia.
Wambie waeleweWanaume tuache kulalamika, tuhudumie wanawake.
Mume mnamalizia bana. Mnashtua watu 😁Mimi kuna mmoja anaitwa D... Na mwingine I.... Nilitongonza siku moja tu kesho yake naambiwa hela ya kusuka mwingine hela hbd
Alikuwepo boyfriend mwingine/ Ex 😂😂Kwa nini mnaomba?
Kabla ya kumpata boyfriend ulikuwa unatimizaje mahitaji yako ya kifedha?
Her: Babe nikwambie kitu?Ukisikia "Baby nikwambie kitu?" Ishaenda hiyo.