😀😀😀Mimi nilicheza last year bhnaa alafu kunamtu nilikuwa namshikia kitabu chake na ni ndugu akaniacha njianiUnachezaje vikoba na upatu kwa pesa za kuomba omba!
Wewe hadi sasa umehudumia wangapi.....? Usikute unaongea hivi na huku kwenye group ulisha leftWanaume tuache kulalamika, tuhudumie wanawake.
Wengine wanaomba hadi hela za pedi na ni lijitu over 24.Mie kitu ambacho sipendi ni kununua au kutoa hela kwenye mambo yakipumbavu.
Niombe hela ktk vitu vya maana na sio unaniomba hela ukasuke sijui ununue wigi..
Niombe hela unataka Kula (sio chips na pizza) omba hela ya kununua kilo hata 20 za mchele uweke ndani.
Omba hela ya kodi.. sio unakaa unaniomba hela elf 5 ya umeme, mambo ya kipumbavu kabisa. Mwanamke mwenye mindset ya kimasikini anaekosa hata nauli au elf 5 ya umeme huyo mie simtak hata kumsikia. Ndio.
Sasa maisha ni kusaidiana, sasa mie nikikwama naangukia kwa nani sasa? Huyu huyu niliemzoesha kumpa vihela atanikimbia maana sina cha kumpa na yeye hana cha kunipa backup zaidi ya kunip K.
Wanawake wote humu duniani ni Matonya professional. Ukimtongoza tu, utaanza kusikia mastori ya matatizo mfamo, kesho ni birth ya mama, leo nataka za wanja, nahitaji za mwenye nyumba.. Saa nyingine huwa najiuliza, hivi nisengekutongoza, haya yote ningeyasikia? kumtongoza tu, kunafuatia na msururu wa matatizo. Yatupasa sasa na sisi wanaume tuanze kuwaomba ndio wataacha hiyo tabia ya omba omba...Kumekuwepo na malalamiko mengi pamoja na mijadala mingi sana ya wanaume wa bongo wakilalamika kuombwa pesa au kuhudumia kila kitu kwa wanawake wanaoingia nao kwenye mahusiano hata kabla ya ndoa(girlfriends)
Wengi wanalalamika kwamba ndani ya siku au wiki tu za kuinguia kwenye mahusiano mabinti hugeuka kama yatima au kuwageuza wao kama wazazi wao wakiomba huduma za kila kitu kuanzia kodi, gesi, luku, chakula, kusuka nywele n.k
Je malalamiko au madai haya ni ya kweli na kama ni kweli yanasababushwa na nini hasa? Ni ishara ya umasikini wa wabongo au tabia mbaya tu za baadhi ya mabinti kupenda kitonga bila ulazima?
Je hii tabia ni kwa mabinti wa mjini au hata huko vijijini hali ni hivyo?
Wewe tafta mwanaume akuhudumie mama, una makasiriko mengi sana, tafta mwanaume akupige mashine, mimi mke wangu ana wivu sana akijua unataka nikutindue atakuua.Wewe hadi sasa umehudumia wangapi.....? Usikute unaongea hivi na huku kwenye group ulisha left
Unafukuzwa kazi kwa kudharau majukumu.Ivi ukijibu apana usiniambie itakuaje kwani
Huu mtazamo au hii kauli ya kusema mwanamke kuwa katika mahusiano anatumika ni ya hovyo na ya kijima. Ni kama vile wanawake kuwa kwenye mahusiano wanajiuza, wako kibiashara na hivyo inabidi walipwe kwa kuwa katika mahusiano.Vijana wapenda slope yaani umtumie mwanamke kama demu au mke usimpe kitu ? Acheni kupenda vya bure kama huwezi kutoa huduma tafuta sabuni za kupiga puchu.
Labda umaskini ni mkubwa sana katika nchi yetu na hiki ni kiashiria kimojawapo kinachokuwa kimejificha, kama sio hivyo basi ni tabia au hulka mbaya sana na ya hovyo.Wanawake wote humu duniani ni Matonya professional. Ukimtongoza tu, utaanza kusikia mastori ya matatizo mfamo, kesho ni birth ya mama, leo nataka za wanja, nahitaji za mwenye nyumba.. Saa nyingine huwa najiuliza, hivi nisengekutongoza, haya yote ningeyasikia? kumtongoza tu, kunafuatia na msururu wa matatizo. Yatupasa sasa na sisi wanaume tuanze kuwaomba ndio wataacha hiyo tabia ya omba omba...
Mmezidi punguzeni kuomba omba.Hata nchi inaomba omba au hujui
Hivi unavyosema mwanaume anamtumia mwanamke hii inakuaje? Yani ni namna gani mwanaume anamtumia mwanamkeVijana wapenda slope yaani umtumie mwanamke kama demu au mke usimpe kitu ? Acheni kupenda vya bure kama huwezi kutoa huduma tafuta sabuni za kupiga puchu.
Nipende kusema kuwa mna date na ombaomba na sio girlfriendsKumekuwepo na malalamiko mengi pamoja na mijadala mingi sana ya wanaume wa bongo wakilalamika kuombwa pesa au kuhudumia kila kitu kwa wanawake wanaoingia nao kwenye mahusiano hata kabla ya ndoa(girlfriends)
Wengi wanalalamika kwamba ndani ya siku au wiki tu za kuinguia kwenye mahusiano mabinti hugeuka kama yatima au kuwageuza wao kama wazazi wao wakiomba huduma za kila kitu kuanzia kodi, gesi, luku, chakula, kusuka nywele n.k
Je malalamiko au madai haya ni ya kweli na kama ni kweli yanasababushwa na nini hasa? Ni ishara ya umasikini wa wabongo au tabia mbaya tu za baadhi ya mabinti kupenda kitonga bila ulazima?
Je hii tabia ni kwa mabinti wa mjini au hata huko vijijini hali ni hivyo?
Washatusoma tunaendeshwa na upwiru , ndio maana mwamba dronedrake yeye huwa anajichukulia sheria tu mkononi , sidhani kama hawa wanambabaisha.Unafukuzwa kazi kwa kudharau majukumu.
Hata kwa upwiru usawa huu mwanamme ndiye anafukuziwa na mwanamke.Washatusoma tunaendeshwa na upwiru , ndio maana mwamba dronedrake yeye huwa anajichukulia sheria tu mkononi , sidhani kama hawa wanambabaisha.