Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
- Thread starter
- #21
hakuna rais mkristo aliyewahi kuwa mbumbu kama kikwete afanyavyo hawezi hata kuiheshimu katiba aliyokubali kuilinda...........ukisema waislamu wanaweza kufanya vyovyote ni sawa kwani kweney quran yako kuna aya 223 zinazochochea chuki,mauaji,na visa na ndiyo maana inaaminika kuwa dunia ingekuwa salama zaidi bila uislamu......
Mod, ondoa hii mada, ni uvumi tu, haina ushahidi, ni sumu ya udini uliokubuhu, inalenga kutugawa badala ya kutunganisha. hakuna ushahidi wowote wa Kikwete kuwapendelea Waislamu. na infact ilani ya mwaka 2005 yenye kutaka mahakama ya kadhi ilikuwa ilani ya CCM na iliandikwa Ben akiwa raisi, na akiwa Mwenyekiti wa CCM, sasa Kikwete anaingiaje hapo?.
Tena wakati huo viongozi wa Makanisa ndo walikuwa wanamuunga mkono kwelikweli, je hawakuliona hilo, ndo wameliona sasa?.
wewe kwa akili yako unafikiri Slaa anakwenda Ikulu kuwa raisi wa wakiristo peke yao?
Na kwa Taarifa yako Waislamu, wakiamua kwa dhati kabisa kuitaka Mahakama ya kadhi nchini irudi nchini, itarudi tu, hakuna mtu yeyote wa kuzuia. Ni raisi gani atapeleka majeshi barabarani kuua raia milioni 20 wanaotaka jambo fulani?.
Tumchague Slaa akawe raisi wa Tanzania, lakini kama mnadhani atakwenda kuwafavor Wakiristo dhidi ya ya Waislamu, basi mmeula wa chuya, akishafanya hivyo nchi haitatawlika ile.