figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
mbunge wa mpanda alipoumwa tumbo alimlipia matibabu?subilini tuone ka G.B wa Arusha watamjari au kutoa tamko.hii siasa.
mtu kapewa uspika kwa sababu tu anavaa sketi unategemea atafanya nini kizuri?ili nisiumize kichwa mi nimeona nichukulie bunge la jamhuri halina spika, lina mama mmoja atakae kua anakaa mbele akiuza sura tu.
sura yenyewe ya kuuza iko wapi pale?? atakuwa anatutisha tuu sana sana....naungana nawewe kuwa waliompa wali2mia kigezo cha sketi, sasa watu hapa wanaumiza kichwa eti atoe tamko, mara sijui afanye nn, hatafanya jamani sio kwa kuwa lema ni chadema ila kwa kuwa mama hajui la kufanya, hajui hata kwamba labda anatakiwa afanye kitu fulani, kifupi hajui chochote, mi sitaangalia bunge, last time nilikuwa naona kichefuchetu tuu nikaona nitavunja bure tv yangu..yule mama kifupi ni mfu kichani hasa linapokuja suala nyeti la kuiongoza taasisi nyeti kama bunge....ccm wanakenua tuu mimeno..
unatisha eeehsura ya kuuuza anayo basi labda ya kutishia watoto wakorofi au wasiopenda kula