Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
Mbona akina dada mwalalamika??????Huyu ni mwanaume mmoja tu amefanya hivyo, je kwa akina dada mbona mnatufanyia hivyo na hatuleti mada hapa JF. Mkuki kwa nguruwe (this is joke).
Anyway, kipindi cha uchumba ni cha kufahamiana, sasa umemfahamu mwenzako, lako ni moja tu, VUMILIA KAMA UNAMPENDA SANA AU ACHANA NAYE KAMA HUWEZI KUVUMILIA TABIA HIZO.
Anyway, kipindi cha uchumba ni cha kufahamiana, sasa umemfahamu mwenzako, lako ni moja tu, VUMILIA KAMA UNAMPENDA SANA AU ACHANA NAYE KAMA HUWEZI KUVUMILIA TABIA HIZO.