tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
Jaman embu nijuzeni kuhusu hili kuhusu utolewaj wa mikopo kwa cozi mbalimbali' zipi ambazo hazita guswa kabisa?
ngwini wote hawapati kitu.over
He he he he, haya mister injinia. Certificate in water networks engineering
Fakati ndo nini? Wasomi wa siku hizi mnachosha! Ningejua jina lako ningehakikisha hatupotezi kodi zetu kwako!
Fakati ndo nini? Wasomi wa siku hizi mnachosha! Ningejua jina lako ningehakikisha hatupotezi kodi zetu kwako!
kaka, hii profesheni yetu imekukosea nini? mimi mbali ya kua nimesomea IT (higher diploma), lakini pia bado ni mwalimu wa sekondari, kazi ninayoifanya hadi leo hii. kwakweli posti zako zinanihuzuhunisha sana, badili tabia jimbinendeni huko huko kwenye ualimu
mbona una-genaralize hivi? Ww na nani hamtapoteza kodi zenu !!!