Agustino Regnald
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 501
- 428
umetaja macharari umenitoa mate aseeWaaooh that is my favorite meal, machalari in meat on the bone.
umetaja macharari umenitoa mate aseeWaaooh that is my favorite meal, machalari in meat on the bone.
Makandee hata uweke nini hunishawishi hata kidogo
kuna makande yanapikwa kama pilau achana na hayo maharage yaani ukipikiwa na wataalam kama sisi utahamia.
ujue hakuna chakula kibaya sema ni mapishi na ulle mpangilio wa kula .chakula chochote ukila kila siku unakinai .chakula kilekile mapishi yale yale ndo tatizo la waafrica
hata yakukobolewaMakandee hata uweke nini hunishawishi hata kidogo
MKUU WEWE KAMA DUST BIN VILE AHAHAHASumu na mchanga
ila vingine vyote napiga.
Hahahahahah haina kulemba mkuu.MKUU WEWE KAMA DUST BIN VILE AHAHAHA
Wewe ni lazima ni mngoni..wazee wa kupiga ugali na chai!?Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
hata yakukobolewa[/QUOTE
Hata yawe ya nini siyapendi siyapendi siyapendi
Basi vyote wavipenda tatizo hupati wapishi.Kisamvu na makande...
ingawa makande mengine yanapikwa vizuri hadi nayapenda
na kisamvu nimewahi kula mara moja tu nikapenda
kilipikwa na mwanamke mmoja hivi wa kiarabu kutoka tabora....
Unakosa mengi kwenye maisha. Unachukiaje nyam?Sipendi nyama yoyote ile na naapa stakula nyama mpaka nakufa
I hate meat forever
Basi vyote wavipenda tatizo hupati wapishi.
naomba unipikie siku moja