LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,446
Kenya makande yao yanaitwa Githeri wanaongeza vikorombwezo mfano viazi ulaya,mboga mboga etc iko vizuri sanakuna makande yanapikwa kama pilau achana na hayo maharage yaani ukipikiwa na wataalam kama sisi utahamia.
ujue hakuna chakula kibaya sema ni mapishi na ulle mpangilio wa kula .chakula chochote ukila kila siku unakinai .chakula kilekile mapishi yale yale ndo tatizo la waafrica