mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,506
- 2,830
Mtori....chakula kinanikera haswaaa...Mara ya kwanza kula kidogo nitapike...
Waaooh that is my favorite meal, machalari in meat on the bone.
kuna makande yanapikwa kama pilau achana na hayo maharage yaani ukipikiwa na wataalam kama sisi utahamia.
ujue hakuna chakula kibaya sema ni mapishi na ulle mpangilio wa kula .chakula chochote ukila kila siku unakinai .chakula kilekile mapishi yale yale ndo tatizo la waafrica
kama mm mkuu sipendi ugali haijalishi mbogaBinafsi siupendi Ugali na haijalishi kuna mboga gani, nakula Ugali tu kama sina jinsi lkn siupendi na hata kama ukipigwa marufuku kwangu poa tu na kamwe siwezi kuumiss!
mi sio mpare sijala makande mwaka mzima huuNa wewe utakua ni mpare tu, maana si kwa kwa kupenda huko makande ,umeyasifiaa,mi nikila sishibi,nasikia njaa mara moja.
mi sio mpare sijala makande mwaka mzima huu
We utakuwa mwanaume wa mkoani.Chakula ambacho sikipendi ni chips, iwe chips kuku, chips, mayai, chips samaki etc. ila ikishaitwa chips tu.. bhass kwangu mm haipandi kabisa, maana nilila kidogo tu nakinahi na nakuwa najisiskia kutapika.
Ndizi ni my favourite food aisee vingine sio kivile ila kuishi bila ndizi I can'tWaaooh yaani nikiona ndizi za kijani gengeni ninachanganyikiwa, ninaweza kuanza na mtori asubuhi machalari mchana na jioni bila matatizo.
wow! wew ungekuw dada angu tungeelewan sana apo kwny mlo huuWaaooh yaani nikiona ndizi za kijani gengeni ninachanganyikiwa, ninaweza kuanza na mtori asubuhi machalari mchana na jioni bila matatizo.
Na si vinginewow! wew ungekuw dada angu tungeelewan sana apo kwny mlo huu
TumefananaKusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Swiss me mkuu sema kweli. Wewe ni rastafarichakula ambacho sipendi.
WALI KUKU
NYAMA CHOMA
MAYAI YA KUKU.
swissme
Huo msosi hata mimi nimeushidwa nikila nyungu mawe baada ya muda nikipumua naisikia harufu yake puaniMe njugumawe jamani. Zimenishinda kabisa.
Vengine vote napeleka kama sina akili vizuri.