Mmanyanigho
Senior Member
- May 18, 2018
- 186
- 326
Wakuu kwema, poleni na majukumu.
Aisee nina changamoto ya fungus, nadhani zinatokana na hizi boxer ninazovaa.
Humu mapajani kunasuguana mno, napata maumivu makali wakati wa kutembea.
Kuna muda inabidi nitembee kama nimetoka kutahiri kumbe ni kuhofia ile friction ya mapaja hapo kati.
Sasa wakuu ni boxer gani makini ambazo zinaweza kunisaidia au dawa.
Kuna bukta fulani ya mpira nadhani, nikiivaa ile inakua afadhari kuliko hutu tuboxer twa buku 10.
Naskiaga tu nunua boxer za cotton lakin hata zile nazovaaga ni za cotton ila ndo ivo zinaumiza.
Ushauri muhimu wakuu, na kama uliwahi kukutana na hii changamoto uliitatua vipi??
Nawasilisha.
Aisee nina changamoto ya fungus, nadhani zinatokana na hizi boxer ninazovaa.
Humu mapajani kunasuguana mno, napata maumivu makali wakati wa kutembea.
Kuna muda inabidi nitembee kama nimetoka kutahiri kumbe ni kuhofia ile friction ya mapaja hapo kati.
Sasa wakuu ni boxer gani makini ambazo zinaweza kunisaidia au dawa.
Kuna bukta fulani ya mpira nadhani, nikiivaa ile inakua afadhari kuliko hutu tuboxer twa buku 10.
Naskiaga tu nunua boxer za cotton lakin hata zile nazovaaga ni za cotton ila ndo ivo zinaumiza.
Ushauri muhimu wakuu, na kama uliwahi kukutana na hii changamoto uliitatua vipi??
Nawasilisha.