Uyui HB
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 553
- 509
Pole sana bora hata angelisema kwa kiswahili,,sasa akataka Hata Obama asikie na elewe kuwa unamganda ka rubaWhy won't you leave me alone
sitokaa nisahau jamani
Pole sana bora hata angelisema kwa kiswahili,,sasa akataka Hata Obama asikie na elewe kuwa unamganda ka rubaWhy won't you leave me alone
sitokaa nisahau jamani
na badooBora mungekuwa vitambulisho mnatambulika ingekuwa afadhali ila girls hamna shukrani dawa yenu kuwagonga tu kama cobra kisha kuwatulia mbali mkafie mtaroni.
Mh.. mayo maneno kuntuSiwezi Kuwa Na Mwanaume Maskini Kama Wewe, Nenda Katafute Pesa Kwanza Ukizipata Ndipo Unifuate.
Mtoto yuko fresh now anamiaka mitano ,Babaake sina mawasiliano naeDah Pole mkuu,lkn sasaiv mtoto yupo fresh,?Baba ake ana mtunza?Pole mkuuu
Sijawahi kukuahidi kuwa nitakuoa ....maneno haya aliyasema baada ya Mimi kumkuta na mwanamke mwingine wakati Mimi tayari Nina mtoto wake wa mwezi mmoja...sitayasahau hadi kufa kwangu..[/QUOT
daaaaaaahhh watu tujifunze kauli za kuwajibu watu unaweza mjibu mtu akaanguka
hahhahhaha uwiiiiii si nacheka kwamba ni mazuri ila daaah watu wengine bhana wana maneno makali sanakuna mtu nampenda sana kama unipendavyo
kweliiiiiiiiiii shikamo mapenziiiiii kitovu cha uzembe".....unajisumbua tu kunifuata kila siku"
hapo nimemfuatilia mwaka mmoja hivi,na kila siku tukitoka shule lazima niende kwao.
ananipa kalenda tu....
siku aliposema kuwa najisumbua nilitaka kunywa sumu.
.......lakini cha ajabu nampenda hadi leo,na nina ndoto ya kumuoa.
Shikamoo mapenzi
Basi Naombe Unipe Hata Pole Maana Hapa Nilipo Wala Sijielewi Elewi.Mh.. mayo maneno kuntu
Break wap wakati alipata bibie Huko yakamshinda eti ananikumbuka amesahau alivokuwa ananijibu jeuri kweli mpaka nakosa usingizi nkiamka asubuh mama ananiambia unaumwa mama nimekesha usingizi sipati nkamwambia imetosha baba songa mbele ulivovianzisha endelea navo chuo kilvofunguliwa nkawa busy tu ilinisaidiamwenzio labda break imeishaaaa hahhahahhaha hapa ndipo nasemaga shikamo mapenzi fyuuuuuu
Hamna bhana... Mi nikisoma naona anaanza mwanaume Halafu anaishia mwanamke....Kivipi mkuu yaani nna dudu mbili au
don't underestimate the power of love!".....unajisumbua tu kunifuata kila siku"
hapo nimemfuatilia mwaka mmoja hivi,na kila siku tukitoka shule lazima niende kwao.
ananipa kalenda tu....
siku aliposema kuwa najisumbua nilitaka kunywa sumu.
.......lakini cha ajabu nampenda hadi leo,na nina ndoto ya kumuoa.
Shikamoo mapenzi