ganja gal Mimi nshaumizwa na nahafahamu how it pains.....sema nilikuwa natania tu madam.....Take it easy........Alex Tanzania ujawahi umizwa wewe ndo maana unaropoka siku ukikipata utajua nliimanisha nini isitoshe nlichoka kumbafkia ilikuwa mzigo moyoni
Hahaha una bahati kidogo nikupige bundukiganja gal Mimi nshaumizwa na nahafahamu how it pains.....sema nilikuwa natania tu madam.....Take it easy........
MapemberoAlivonambia maishan mwangu sikuwah kufikiria kuoa mwanamke mkinga, mm ni lazima nioe mchaga mwenzangu so nadhan huu ndo mwsho
hahahahahahhahahah jf bhanaaaaa khaaaaa pole sanaUsining'ang'anie maana bado sijaoa nna haki yakuwa na wanawake varieties kwenye mahusiano niweze kuchagua! kwanza sijawahi kufikiria kudate na mtu muislam ama background ya kiislam umenitokea wapi kama shetani wewe mwanamke? wewe sio type yangu
Nehaha atale nemelwa!Hamo ngoyi wale nemelwa ghete
je huyo mama mtoto uko naye bado?"nina mimba yako na sina mpango wa kutoa",nilikuwa bado kijana sana na nliona kama itanihalibia mipango yangu maana nlikuwa form 5 pale tambaza nliona kama mkosi il leo hii mkosi umekuwa fulaha ya maisha maana kwel hakutoa na akanizalia kidume mpaka leo nikiwa nae watu huhisi mdogo wangu!!!!
hahahhahahahhahah uwiiiiiiii kweli u make my day ungeenda kukata hiyo lesenimimi niliambiwa wewe ndio dereva wa moyo wangu wakati sina hata leseni niliumia sana
....You ain't shit
mwenzio labda break imeishaaaa hahhahahhaha hapa ndipo nasemaga shikamo mapenzi fyuuuuuuYaaan wanaume bhana ni kiboko yaaaan alianza visa tu akawa busy Sana na simu wakati wa usiku nkimpigia nakuta inatumika anakuja nipigia baadae sana namuuliza kulkon mwenzangu busy unaongea na nani akanijibu usitake kujua naongea na nani maana ukijua utajiumiza tu daaaa nkameza mate nkamwambia usiku mwema lakini sikupata usingizi kwelii sasa hapo ndo mwanzo wa visa akaniambia anahitaji break kidogo lakini nkawa nampigia simu mimi namwambia mimi siwezi yaan kukupotezea kukusahau hajibu kitu nilpojua kanichoka akanipgia usiku akasema unataka nikupe nin au nikufanyie kitu gani ili unisahau haya maneno yalikuwa magumu ila yalnipa ujasiri wa kumuacha kabisa sikumtafuta tena baada ya miezi miwili akaanza kunitafuta kwa namba mpya akajitambulisha shida yako eti nisamehe natamani nirudishe muda nyuma turudiane khaaaaaaa
khaaaaa watu wana roho ngumu kweli"Kitambaa cheupe kikiingia DOA JEKUNDU huo ni UCHAFU na hakifai tena ..... lakini hilo DOA JEKUNDU mkiliweka wenyewe ni PAMBO ....
Mapenzi yetu yameingiwa na UCHAFU cause siwezi kuwa na mpenzi ambae hana hela .....
Tafuta hela tena siku ukizipata nishtue ..."
Kamwe sitoweza sahau hiyo kauli ... NEVER
Daaah,,,pole sana.Uzuri ni kwamba hujatendwa mara mbili na mtu mmoja,,,move on and time will healEx bf wa kwanza aliniambia "hatuwezi kudate nina mtu wangu niache." Nilikua nampenda kuliko kitu chochote. Hiyo statement iliniumiza sana. Namshukuru Mungu baada ya miaka miwili niliweza kumove on nikapenda tena japo nimetendwa tena.
Bora mungekuwa vitambulisho mnatambulika ingekuwa afadhali ila girls hamna shukrani dawa yenu kuwagonga tu kama cobra kisha kuwatulia mbali mkafie mtaroni.tupende wallet sisi vitambulisho?
Hakika ''Unakula ili uishi''Mimi ilikuwa hivi
Shani:Sijaziona siku zangu
Me:What nikavurugwa kabisaaa nikawaza sina kazi maisha magumu ndo kwanza nipo shule nikamjibu,Mimi siko tayari kuwa na familia kwasasa.
Alichonijibu sasa...!!
:Kwani me nimekwambia ya kwako.
Mpaka now niko milembe toka 2012 sema ni kiongozi wa vichaa tu wananiamini kidogo wamenipa na simu .
Dah Pole mkuu,lkn sasaiv mtoto yupo fresh,?Baba ake ana mtunza?Pole mkuuuSijawahi kukuahidi kuwa nitakuoa ....maneno haya aliyasema baada ya Mimi kumkuta na mwanamke mwingine wakati Mimi tayari Nina mtoto wake wa mwezi mmoja...sitayasahau hadi kufa kwangu..
ni kweli hukumwekea chuki?..Kugundua ananicheat na baada ya kuuliza akanijibu kistaarabu kabisa ww sie nnaekupenda bali ni yule mwngin..kidogo nizimie na aliniomba msamaha kbs kwa kunidanganya tukaendelea kua marafiki wa kawaida na sikumuwekea chuki baada ya miaka 3 akajirud na machoz juu kua hakua sahihi na anachokihitaj kwani anahiskukaa mbali na mm kimapenz amegundua ni mm ndie anipendae zaid.
kwa nini unampelekesha na huna mapenzi nae kama hukumwekea chuki?..kuna ukakasi hapa.. zaidi ''alikujibu kwa ustaarabu''.sikumfanyia hiyana niko nae mpk ss ila nnavyompelekesha Mungu ndie anajua na sina mapenz nae km mwanzo na hivyo kapata kaz nzuri mbona nafaidii