Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,616
Duh! mmefikia hadi kwenye mambo ya plagiarism? Dayuuuuum
I have not purported anywhere to be the author and anybody could easily find who the author was. If this has caused an offense I have acknowledged the source.
Hapana, hili si kweli.
Ukiandika kitu bila kutoa source maana yake una jionyesha kwamba wewe ndiye muandishi, sasa unataka kutupa kazi ya ku google kila kinachoandikwa hapa na kwenda Library of Congress kupitia vitabu vyote vilivyoandikwa na kuwekwa pale ili kusudi tujue tu kwamba ulichoandika ni chako au ume copy paste sehemu?
Hivi kwa mfano kama unaandika report kazini au kazi ya academia unaweza kutoa hii defence ya "I have not purported anywhere to be the author"? Unaona hii ni defence kweli? The very fact kwamba umeandika under "WomanofSubstance" na hujatoa credit kwa mtu mwingine inamaanisha unatuambia "WomanofSubstance" ndiye muandishi. Utajifunza vipi wakati hutaki kukubali kwamba umekosea ?
Mara nyingine ukishikwa pabaya uungwana ni kukubali kosa, kuomba radhi na kuendelea huku ukiwa umejifunza somo na ukinuia kutorudia kosa.Wewe inaonekana unataka kuleta ubishi na kukataa kwamba umefanya kosa.
Si uungwana huu.Unazidi kujizamisha katika tope la mikosa.
Zawadi Ngoda said:Im not a person of many words. Only facts has place in my brain.
Nyerere, Idd Amin, Obote, Binaisa and Rulee are dead, but there is one important person still alive Yoweri Kaguta Museveni and he was with them in 1970s. Lets listen to him; mind you these are his own word in this month.
Think if you are a president to be ousted, what could you do? Please rewrite your story again basing on Musevenis fact minus Nyerere's propaganda.
"Museveni said he met Binaisa in the 1970s at Kilimanjaro Hotel when allied forces based in Tanzania were plotting to overthrow dictator Idi Amin. Binaisa impressed him as an articulate and humorous person, he noted". By Henry Mukasa.
... "that settles it" kwani we village chief hapa? Dada haelewi kama kavurunda, unasema "that settles it"...Well.. I got you... that settles it. Usiumie ndio mitandao ilivyo.. na wenyewe wanasema "kukumbushana".
... "that settles it" kwani we village chief hapa? Dada haelewi kama kavurunda, unasema "that settles it"...
..sasa kwanini basi watu wasijadili hicho kipande kilicholetwa badala yake wanamjadili WOS?
..sasa kwanini basi watu wasijadili hicho kipande kilicholetwa badala yake wanamjadili WOS?
Time Magazine said:EAST AFRICA -- "An Idi-otic invasion"
...Amin's invasion of Tanzania, however, was apparently triggered by internal problems-specifically, a mutiny of his troops. The crack Simba (Lion) Battalion rebelled in protest against the country's sagging economy. In early October, dissident troops ambushed Amin at the presidential lodge in Kampala, but he escaped with his family in a helicopter.
Efforts by loyalist troops to smash the rebellion, which had its strongest support in southern Uganda, spilled over into Tanzania, where anti-Amin exiles joined the fighting. Big Daddy's attempt to disguise the true nature of these clashes, and to divert attention from Uganda's domestic troubles, led to his false charges of a Tanzanian invasion.
Amin apparently decided that since his soldiers were already in Tanzania, they might as well try to claim the triangle of land north of the Kagera River, and thus complicate future attempts by the exiles to slip into Uganda.
Although both countries have more Communist-supplied armaments than they need for legitimate self-defense, there is little chance that the conflict will escalate into a major war. But already there have been hundreds of casualties from the fighting-a terrible price to pay for what amounts to an Idiotic invasion.
Read more: EAST AFRICA: An Idi-otic Invasion - TIME
hahahahahhahahhaaa....Mazee,
Hujakatazwa kujadili chochote unachoona cha muhimu, na vile vile huna haki ya kulazimisha watu kujadili chochote unachoona ni muhimu.
Wengine hatuwezi kusoma copy-paste zilizokosa hata white space.
Hahhaahhahahahahaaaaaaaaaaaa
What's is it, a literal clinic? Had to take it that slow? Kiranga, imagine that, and we ain't talking bout some join-date-yesterday blowhard blockhead, this is WomanOfSubstance THE, getting colloquial like that!
Hahhaahhahahahahaaaaaaaaaaaa
What's is it, a literal clinic? Had to take it that slow? Kiranga, imagine that, and we ain't talking bout some join-date-yesterday blowhard blockhead, this is WomanOfSubstance THE, getting colloquial like that!
Hofstede,Lete evidence ya watu aliyoua. Kuna watu vilevile wanasema Nyerere aliua watu wengi walikuwa wanampinga. Hizo propaganda za magharibi baada ya kuachana na Israel na kuanza ku-support arabs
vi- WomanofSubstance
nimekwambia usitoe comment zaidi za kumchafua, huyo dada anaheshimika hapa na wananchi.sasa unategemea nini kutoka kwa vi- WomanofSubstance hapa ?
mnyiramba anawaambia waswahili "kuna muha anajua sana kifaransa kwa sababu mimi huwa simuelewi"I sometimes don get a meaning of what you are saying.
Nomaaa!!!!!!!!!
nimekwambia usitoe comment zaidi za kumchafua, huyo dada anaheshimika hapa na wananchi.
NINAKUFUNGIA KUTOA MATAMSHI YOYOTE KWA MUDA USIOJULIKANA!
mnyiramba anawaambia waswahili "kuna muha anajua sana kifaransa kwa sababu mimi huwa simuelewi"
mnyiramba anawaambia waswahili "kuna muha anajua sana kifaransa kwa sababu mimi huwa simuelewi"
U sick son,
Who died and made you chief up in here ?