Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,195
".... Mapema January mwaka jana, mzee wangu Malecela alifika nyumbani kule Kongwa usiku nisivyotarajia na isivyo kawaida. Akataka chai ya rangi huku akinieleza ALIKUJA KAMA KAKA NA ANADHANI KESHO NIJIUZULU USPIKA na mimi nilikubali na AKANITAKA NISIKOSE KUJIUZULU HIYO KESHO ASUBUHI na mimi nilikubali sawa na kesho asubuhi nilijiuzulu."
Ndugai akiwa kwenye mazishi ya Lemutuz.
Ndugai akiwa kwenye mazishi ya Lemutuz.