Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
M
Mbona unakuwa mkali, jibu hoja kwa hoja Pastor, unapoteza uelekeo au ndiyo dalili ya kulemewa
Ukijiibu upuuzi utaonekana na wewe ni mpuuzi! Upuuzi huupuuzwa
M
Mbona unakuwa mkali, jibu hoja kwa hoja Pastor, unapoteza uelekeo au ndiyo dalili ya kulemewa
Watu kwa kujipa mahope hamjambo haya subirini mkono udondokeLisemwalo lipo...!
mkuu tatizo la upinzani kushindwa haliletwo na slaa pekee... in actual facts, linaletwa na existing system ambayo role inayokuwa played na upinzani ni ndogo mno... kwahiyo kusema ni slaa its a mistake, ni kama kutafuta mchawi tu!!!
one needs to ask, hivi kweli mtu unagombea mpaka watu wanaacha hata kuuliza utatufanyia nini, lakini hukati tamaa?? chadema left z'bar for cuf, but there is not mutual feeling for them in the mainland where prof is getting weaker and weaker
that being said, i still believe hata waungane, with the current set up, ushindi ni ndoto
wajifunze kenya jinsi taifa lilivyopata moto wa maendeleo bada ya kupitisha katiba mpya
hata wachina wa kenya wanamaliza kazi kabla ya muda
True mkuu na maneno ya mpuuzi hujibiwa kipuuzi hakuna haja ya kuumiza kichwa ni kama kumjibu Malaria Sugu wala huhitaji ku google.Ukijiibu upuuzi utaonekana na wewe ni mpuuzi! Upuuzi huupuuzwa
Katibu wa CUF keshajiunga na ccm chini ya maelekezo ya makamu mwenyekiti wa ccm. Hivyo kinachosubiriwa ni mwenyekiti wa CUF kumfuata katibu wake. Kwani kikao cha siri cha wenyeviti wa ccm na cuf viliisharipotiwa.
Yaani mleta mada anadhani kura laki sita atakazopata Lipumba ndio zingemwingiza ikulu? Acheni utani hebu sote kwa pamoja tuungane kumleta rais mpya ikulu 2010 Dr Slaa!!
Wapenzi wa CCM safari hii hadi mnatia huruma tofauti na mwaka 2005, mngekuwa mnajiamini msingekuwa mnakesha kwenye mitandao kama hivi wakati huu mngekuwa mmelala.Mkuu nakubaliana na wewe kabisa lakini upinzani wange fanya moja, la kupambana kuingiza wabunge wengi kilia wakati wa chaguzi ili kujiengezea nguvu kadri siku zinavyokwenda kwa sababu kuiondoa CCM madarakani siyo kazi ya chaguzi moja, ni mfululilizo wa chaguzi nyingi amabazo upinzani unatakiwa kujiaanda kupata wabunge wengi......
Eti yuko sahihi how au kwa vile ametype maandishi fafanua.Post yako ndo imechakachuliwa, mtoa mada yupo sahihi kabisa
kwani wewe umeshaleta mada yeyote toka ujiunge au kazi yako ni kupet pet yaliyoandikwa na wengine.Itendee nafsi yako haki, ongea nafsi yako inaamini ni kweli. Katika hili nina hakika unajua kuwa umechemsha
Masalilo ukishikwa pabaya unakuwa mkali eeeh....
Aiseeeee.......... halafu fikiria ana kanzu bila bukta ndani msikitiniDuuu! Hii kitu imekaa kama CUF na Misikiti
CUF yatangaza Wanaume wa Vita - INATISHA
Kilimanjaro
Awadh Mwarabu (Same Magharibi)
Dar es Salaam,
Hussein Siyovelwa (Ilala); Kimangale Mussa (Segerea); Heko Pori (Ukonga); Shaban Mapeyo (Kawe); Shabaan Nassor (Kinondoni) na Mustafa Mungwe (Kigamboni).
Haya ndiyo mavazi rasmi ya chama, mimi nataka kujiunga CUF lakini sijawahi kuvaa kanzu sijui nitafanyaje keykey yuko wapi anishauri ila jambia nimeshanunua tayari.Napenda hii harusi