Ndoa ya CCM na CUF ilifanyika lini?

Subirini mtakapo lia na kusaga meno, ndio mtajuwa kuwa maharage kuwa ni mboga.

Wanaolia lia ni wale ambao kila siku wanakesha na kulia lia kuwa wameonewa na wakatoliki (kasome ile mada ya mohamed said)
 
Msianze kupindisha thread...!
Na wewe unaita hii thread, thread isiyo na miguu wala kichwa, huyu tunamjua ni mzee wa kutunga mashairi sasa dawa yake ni kumwimbia ngonjera. Sema tu siku hizi tumezuiwa kupakua tungemletea mzee wa meza adakue.
 
Haya ndiyo mavazi rasmi ya chama, mimi nataka kujiunga CUF lakini sijawahi kuvaa kanzu sijui nitafanyaje keykey yuko wapi anishauri ila jambia nimeshanunua tayari.

ha ha ha,

Mods pain killer atakuja sasa hivi hapa kufuta hii thread. Hataki kabisa Kikwete na Lipumba watokee wakiwa pamoja.

Hicho kikao kilikuwa siri na nyie mnakiweka wazi?
 
Napenda hii harusi

8D6U9904.JPG

Ningependa kweli kuhudhuria ...teh teh teh
 
Kuna habari ambazo nina wasiwasi nazo ,habari zenyewe ni kuwa Chadema imetumika katika kuiletea ushundi CCM na ni pale Slaa alipopiga U-TURN na kujiingiza katika kinyang'anyiro cha Uraisi ,ikumbukwe kuwa wengi wa wagombea wa vyama vya upinzani walikuwa wameshaamua kutogombea nafasi hiyo ,na wote kuelekeza nguvu zao katika kugombea ubunge.
:A S-danger:

Wengi maana yake ni kwamba siyo wote. Mwaka 1995 na mwaka 2000, CHADEMA hawakusimamisha mgombea wa Urais, badala yake walimsapoti Lipumba, lakini NCCR Mageuzi, TLP na UDP walisimamisha wagombea wao. Kama CHADEMA wamegeuka U-Turn, ni chama gani kingine kinamsapoti Lipumba sasa?


Madai kuwa walikuwa wamekubaliana siyaamini kwa sababu wasingefanya hivyo kisiri sisiri kufikia makubaliano hayo bila kuyatangaza hadharani, vile vile vyama hivyo visingeweza kukaa kimya iwapo mwenzao CHADEMA angewakuwa amewasaliti. Lipumba mwenyewe hakulalamika, badala yake alisema Slaa anakubalika lakini hata yeye ataingia tu kwenye kinyang'anyiro hicho kwa madai kuwa hakujua kuwa CAHDEMA wangemsimamisha Slaa.
 
kwani wewe umeshaleta mada yeyote toka ujiunge au kazi yako ni kupet pet yaliyoandikwa na wengine.
Hiyo tu haitoshi kwa maana hata anayojibu wala hayaendani na post husika... :confused2:
Na aache uongo ujitenge palipo na ukweli.
Nina wasiwasi naye sana .....Great thinker... CHADEMA itawashughulisha sana
Tegemeeni makubwa mwaka huu...
 
Kuna habari ambazo nina wasiwasi nazo ,habari zenyewe ni kuwa Chadema imetumika katika kuiletea ushundi CCM na ni pale Slaa alipopiga U-TURN na kujiingiza katika kinyang'anyiro cha Uraisi ,ikumbukwe kuwa wengi wa wagombea wa vyama vya upinzani walikuwa wameshaamua kutogombea nafasi hiyo ,na wote kuelekeza nguvu zao katika kugombea ubunge.

Hapa tayari Watanzania walikuwa wameshalenga shabaha ya kuiangusha CCM kwa kupeleka nguvu zao kwa Mgombea mmoja tu wa CUF ,Lipumba ,mgombea ambae angeweza kabisa kuilaza CCM kutokana na kura zitakazo miminika kutoka vyama pinzani.

Ingawa wengi hawafahamu kilichomsukuma Slaa kugombea nafasi hiyo ,wenyewe ndani ya Chadema wanadai au yeye mwenyewe Slaa anadai kuwa wamempendekeza, ingawa yeye mwenyewe alikuwa hataki kuingia katika ugombea huo,hizi ni mbinu za kuwateka waTanzania na kuwalaghai kuwa ni mapendekezo ya Chama. Hapa mkae mkielewa kuwa pamechezwa mchezo mkubwa sana na kuwafanya hata wale waliokuwa na msimamo mkali wabaki wakiamini kuwa Chama ndio kimependekeza ,nawaomba mjaribu kuchunguza kwa kina kabisa mtauona ukweli kuwa hapa CCM wametumia karata yao ya kuwa na chama risavu ambacho ni Chadema,huwezi kuamini kirahisi lakini siasa ndivyo zilivyo wanaofahamu ni wachache sana.

Wengi tulishangaa sana na kutaka kujua kilichomsukuma Slaa na sasa imeeleweka kuwa CCM wamemtumia na wameshafanikiwa katika kuwagawa WaTz kwa mara ingine,you must think hard to get the inner core of the Slaa turning factors.

:A S-danger:

mawazo ya kijinga sana haya
 
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa lakini upinzani wange fanya moja, la kupambana kuingiza wabunge wengi kilia wakati wa chaguzi ili kujiengezea nguvu kadri siku zinavyokwenda kwa sababu kuiondoa CCM madarakani siyo kazi ya chaguzi moja, ni mfululilizo wa chaguzi nyingi amabazo upinzani unatakiwa kujiaanda kupata wabunge wengi......

Hii attitude ndio inafanya hata Wakenya na Waganda wakija kwenye interview wanawaburuza Watanzania vibaya sana. Watanzania tumekosa kujiamini na kudhani kuwa kila kitu hakiwezekani. Hivi lini unadhani upinzani utaishinda CCM, kama kila siku unaamini hawawezi? why not this coming election, kipi kinakosekana? Kwani ni kitu gani kinafanya Karatu, Tarime etc kuwachangua wapinzani? Wale wangekuwa na woga na mazoea kama ya kwako na wengine wanaosema kuwa wapinzani hawewezi kushinda nchi hii isingekuwa na mpinzani hata mmoja

Uwe na imani na chukua hatua, kura yako mpe mpinzani, na uilinde, then utaona matokeo yake.Lakini ukishajikatia tamaa kabla hata hujaenda kwenye sanduku la kura then upinzani hauwezi kushinda

Halafu huyo ndugu aliyetoa mada nadhani amekaa na kufikiri upupu akaamua kuja kuumwaga hapa. Watu wengine bana, sijui hawajasoma? Hii JF inasomwa na watu wenye akili, huwezi kutunga ujinga na upupu then unaamua kuja kuumwaga hapa.Hata kama wewe ni CCM au CUF, nadhani it is just too low-- , watanzania hawadanganyiki tena--isipokuwa wewe, haha haha
 
M

Mbona unakuwa mkali, jibu hoja kwa hoja Pastor, unapoteza uelekeo au ndiyo dalili ya kulemewa

Lisemwalo lipo...!

Hivi na busara zenu mnaamini kuwa laiti JK na CCM wangekuwa na uhakika wa ushindi wangehangaika kuchangisha bilioni 50 kwa ajili ya kampeni?Au kubwa zaidi,laiti JK angekuwa na uhakika wa kushinda kirahisi angeanguka Jangwani kwa panic?
 
mkuu tatizo la upinzani kushindwa haliletwo na slaa pekee... in actual facts, linaletwa na existing system ambayo role inayokuwa played na upinzani ni ndogo mno... kwahiyo kusema ni slaa its a mistake, ni kama kutafuta mchawi tu!!!

one needs to ask, hivi kweli mtu unagombea mpaka watu wanaacha hata kuuliza utatufanyia nini, lakini hukati tamaa?? chadema left z'bar for cuf, but there is not mutual feeling for them in the mainland where prof is getting weaker and weaker

that being said, i still believe hata waungane, with the current set up, ushindi ni ndoto
twa
wajifunze kenya jinsi taifa lilivyopata moto wa maendeleo bada ya kupitisha katiba mpyaki m

hata wachina wa kenya wanamaliza kazi kabla ya muda
Ama kweli hao ndio wana mageuzi. Kutwa kutafuta visingizi.Leo hili kesho hili.Hawaoni hiyo ni dalili ya kukata tamaa.Kwamba wamekwisha kubali kushindwa.Ni nafuu mmalizie kwa kusema, sizitaki mbichi hizi
 
Back
Top Bottom