Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
pesa ya mwanamke yake peke yake, ya mume wake ya familia
umemaliza!
pesa ya mwanamke yake peke yake, ya mume wake ya familia
Ya nini ajue account yangu ina nini cha muhimu chakula ndani kipo anatekeleza wajibu wake wa kulipa ada ya watoto,na kutengeneza miradi ya familia ambayo wote tunatakuwa tunaendesha,kaninunulia mkewe gari na nyumba amejenga i dont nd to know abt his account nor he should know mine dears
Nina urafiki sana na mdada mmoja ambaye ameolewa, mdada huyu tunafanya naye benki moja hivi. mume wake tuna urafiki pia lakini sio kihivo kama mke wake, nadhani ni kwasababu tunafanya naye ofisi moja. Wiki iliyo pita shemeji alinikopa laki! nikaahidi kumpatia jioni, kwakuwa mke wake yupo maternity live, naye kwa bahati alinipigia simu akiniomba nimuangalizie balance kwenye account yake, nilishikwa na butwaa kuona salio la ukweli. Nikajua hapa kuna tatizo.
Nilimkopesha shemeji laki moja akaniahidi atanirudishia baada ya wiki. Sikuishia hapo, nili mpigia mkewake simu nikimuazima laki moja nimrudishie baada ya wiki, bila tatizo, akanipatia.
They are very happy family!!!!!!!
Mna uhakika gani kuwa wamefichana?
Smile yawezekana pia hizo pesa kw acc ya mkewe zikawa sio za mshahara...Pili kama yale ya msingi tuliyokubaliana (cost sharing) kulingana na vipato vyetu ivi haya ya kuanza tena kupekenyua acc yake na kufuatilia sana hata ka annua increment sioni kama ni sawa.
Teacher Gaijin,
Comment yangu ilielekezwa hapo chini na siyo kwa wahusika waliotajwa na mleta mada au mleta mada mwenyewe!
Mzima wewe lakini?
Babu DC!!!
Mna uhakika gani kuwa wamefichana?
Nakushauri kama unaweza kuintervene mwambie shemeji yako acheki na mkewe kama ana salio lolote, kama huwezi next time kopa kwa mama mpe mzee kisha mzee akilipa reudisha kwa mama as usual, ila kama ulivyosema ndoa kazi nimekubali ila shauri communication iwe nzuri btn the two. pole kwa majukumu, nina imani next time utakuwa mediator, I mean utarekebisha maugomvi yao.
Yani wa hivi wako wengi sana,wanawake wengi pesa zao ni zao tu,sio za familia,ila za mume ni za wote!!ndoa ndoano!!Mume akiishiwa hapewi hata senti,lakini yeye akiishiwa full kubembeleza.Kuna familia ninaifahamu yani mke akinunua kitu cha nyumbani sijui kuku wamepitishwa hapa ofisini,anaenda kumdai mumewe nyumbani,na siku hiyo hiyo kachukua mshahara,kalipwa hela kibao,yani huwa nachoka kabisa,tena anampigia kabisa simu eti kuna kuku hapa elfu kumi kumi nichukue wangapi maana mi sina hela ila wanakopeshwa,kesho nimletee,wakati anahela na atalipa cash,jamani mmh sijui watu wengine wanaishije!
mbona unatetea sana gee...nawewe ndo principal zako nini mamauliambiwa kuna ugomvi?
na hizi saluni ndo zinafanya wake za watu wamegwe ovyo maana kila wiki max 200,000 inahusu!mjini mipango sio pesa!!!! Lol! Bei ya lesswig original @ 500,000/= ni kuku wa miezi miwili ndani, ila ndo anaweka kichwani babu weee! Hapo bado kiatu cha pumps @ 150,000/= kariakooo unadhani kwa mtaji huo hela ya mkeo itatosha!!!!? Wakwanza kumsifia katoka bomba sana asubuhi!
mbona unatetea sana gee...nawewe ndo principal zako nini mama
issue sio a/c zinasemaje...ushirikiano muhimu banasijawahi kuwa kwenye uhusiano na mwanamme unaowezesha hata kunijia wazo la kutaka kujua accounts zake zinasemaje benki, kwa hiyo bado haijawa principle yangu.
Ila nikiangalia ni hivi, sitakaa nijue mume ana kiasi gani kwenye account yake. Akitaka kujua yangu, that's alright, anaweza hata kuwa yeye ndo mtoaji pesa kwenye account hiyo.
Kwangu kuna vitu ambavyo naona nimuachie mwenzangu "privacy" yake, akiamua kuniambia hewallah, ila asipoamua hivyo, sio issue.
issue sio a/c zinasemaje...ushirikiano muhimu bana