Member wa Team TUSIONAJEMAWe unalo lako jambo sio bure
Dah..yaani unajifanya unajua sana kiingereza kuliko Kiswahili au?Unamaanisha reverse au?
Air Tanzania inahitaji kufanyiwa complete rebranding kama TTCL walivofanya
Wazungu hao hata twiga hawamjui,wametumiwa picha kwenye fax wao wakajua ndivyo alivyo
Mkuu yaani wewe upo kusubiri ndege ife ndo furaha yako!!!!! Tz kwanza mkuu.Kipanga boi, nasubir life nikanunue kifeni chake niweke gheto
Ni bora kufa mawazo yaendelee kuishi, kuliko kuishi na mawazo yaliokufa.Dah...tena nasikia hizi haziwezi kurudi nyuma zikiwa angani kama zile za zamani.... tumeliwa kweli watz
Afungwe bila kuhurumiwa...madhara ya deals haya...wangetengeneza logo kama 3hivi then zipigiwe kura ...sasa kutuwekea nembo ya katuni mbaya namna hiyo sijui ndo nn yani! Inachefua haswaDaah tuache masiara huyo twiga anatia hasira sanaa ,alieruhusu ndege yetu kuwekwa mchoro wa twiga huyo anatakiwa atafutwe popote alipo na atupwe lupango pumbafu zake