RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,005
- 108,808
Mwanzo ilikuwa hampandi kwasababu ni mapangaboi. Baada ya cd ya mapangaboi kuchuja sasa mmetoa single mpya twiga kakosewa!Mimi swali langu moja tu; hivi huyu aliye mchora huyu twiga ni nani jamani? Kama kabemendwa, mungu anamuona haya tu.
Mchoraji wa zile za zamani alikua anajua kuliko wa sasa.
Mchoraji sio fair, sema poa tu na sipandi
View attachment 406534
View attachment 406535