Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Watamkuta kwenye database ya TRA labda kama atakuwa kapuku kabisa ambaye haja-qualify hata kulipa kodi..!!Kama anafikiri kuweka bango la wadaiwa kwenye magazeti ndio suluhu ya kuwafanya walipe amechemka. Itakuwa ni habari kama habari zingine tu ambazo hazishtui watu.
Hivi kwa mfano mtu alikopa na tangu amalize chuo hajawahi ajiriwa zaidi ya kupambana na ujasiriamali watamkuta wapi?