Ndalichako: Wanaodaiwa na HESLB tutaweka majina yao magazetini kuwashinikiza kulipa

Unaweka majina ya nni?
Kwenye ualimu walidai kuna grant na mkopo. Grant hatukutakiwa kurejeshs ila sasa tunarejesha zote na retation fee.
Isitoshe ilitakiwa walau wanaofanya kazi kwenye public sector wangepewa hata robo ya msamaga wa mkopo kama motivation. Cha ajabu unaajiriwa na govt. msalary njiwa na bado wanakata mule mule sawa na wale wanaotumikia private sector wenye mishahara mikubwa na kwa faida ya bwana kheri.
Hvi vitu tunaomba vifanyiwe marekebisho lkn hamna lolote.
Unazungumza nini? Private sector wanalipishwa kodi mpaka kwenye Posho; nyie huko Posho hazikatwi kodi sasa sijui unalalamika nini
 
Wazo finyu Sana, Wakishaweka ndio watu watalipa? , kuweka Jina gazetini haijawahi kuwa jawabu ya kulipa mkopo , njia bora ni kuwabana waajiri
 
Hata waliokwishalipa hawapewi certificates za kuonyesha kwamba wameshamaliza mikopo yao. Hii ni moja ya taasisi za serikali zilizooza. Haina kumbukumbu kabisa. haina hata record za watu waliokwishamaliza malipo yao ya mikopo. Kuna watu wameshakatwa zaidi ya kile wanachodaiwa, wakifuatilia hawawezi kurudishiwa fedha walizolipa zaidi.. nk. Yaani inaendeshwa kibabaishaji ile mbaya. Ningekuwa na mkopo nisingelipa mpaka waweke mambo yao vizuri.
 
Wazo finyu Sana, Wakishaweka ndio watu watalipa? , kuweka Jina gazetini haijawahi kuwa jawabu ya kulipa mkopo , njia bora ni kuwabana waajiri

Exactly! eti Waziri anasema "kuwashinikiza". Kila mtu katika nchi hii kasoma kwa fedha za umma, ikiwamo yeye waziri. Kama ni kudaiwa, kila mtu anadaiwa.
 
Ndio vizuri waweke na viwango tunavyo daiwa tujue.
Mi nadhani something is wrong somewhere...au rekodi zimepotea kama watu wanavyosema mitandaoni...?
Siwakate tu hizo hela kwenye mishahara ya watu...? Lazima iwe hiari?
Kuna mtu kagoma?!
Nenda kwa waajiri na majina toa amri wakate...anayebisha ndio umchukulie hatua...simple...au hakuna record???
 
Ndio vizuri waweke na viwango tunavyo daiwa tujue.
Waweke kwa kweli maana wengine tulitaka kulipa lakini hawakuwa na majibu straight tunalipaje tukaach. ikiwa systematic ntalipa. Sio nilipe ziingie kwa mifuko ya watu. Pia waingie private sector na NGOs. Waziandikie barua wafanyakazi wapo pia walipe.
 
Unaweka majina ya nni?
Kwenye ualimu walidai kuna grant na mkopo. Grant hatukutakiwa kurejeshs ila sasa tunarejesha zote na retation fee.
Isitoshe ilitakiwa walau wanaofanya kazi kwenye public sector wangepewa hata robo ya msamaga wa mkopo kama motivation. Cha ajabu unaajiriwa na govt. msalary njiwa na bado wanakata mule mule sawa na wale wanaotumikia private sector wenye mishahara mikubwa na kwa faida ya bwana kheri.
Hvi vitu tunaomba vifanyiwe marekebisho lkn hamna lolote.
Hamia private sector
 
Waweke kwa kweli maana wengine tulitaka kulipa lakini hawakuwa na majibu straight tunalipaje tukaach. ikiwa systematic ntalipa. Sio nilipe ziingie kwa mifuko ya watu. Pia waingie private sector na NGOs. Waziandikie barua wafanyakazi wapo pia walipe.
Mama tatizo hata hizo data hawana
 
Dawa ni kumnyamata mmoja mmoja,mmesomeshwa kwa mkopo harufu kulipa hamtaki na sisi tuliosomeshwa na wanakijiji je?.mama ndali kaza buti mpaka wavaa suti bungeni nao walipe.
 
Father in the name of Jesus naomba DATABASE ya HESLB isahau kabisa jina langu KIMIUJIZA babaa,nisaidie babaa! Shindwa Ndalichako shindwaaaa! Wote tuseme Amen
 
Hawana data Mimi sijawahi kupata ajira toka nilivyomaliza chuo nafuga mifugo yangu waje wanidai.
 
Ndio vizuri waweke na viwango tunavyo daiwa tujue.
Na Wa epa na escrow nao waandikwe siyo kutuonea tuliopata kihalali
Kama anafikiri kuweka bango la wadaiwa kwenye magazeti ndio suluhu ya kuwafanya walipe amechemka. Itakuwa ni habari kama habari zingine tu ambazo hazishtui watu.

Hivi kwa mfano mtu alikopa na tangu amalize chuo hajawahi ajiriwa zaidi ya kupambana na ujasiriamali watamkuta wapi?
 
Sisi tuliosimamishwa vyuo kama adhabu ya kufanya mgomo kupinga ulipaji wa msaada/mikopo pindi bodi ilipokuwa inaanzishwa. itakuwaje?aweke majina tu tujue kiasi gani tunadaiwa.
 
toka nimemaliza chuo sikuwahi kuwa na maisha mazuri kama kipindi cha boom sasa huku kudaiwa si majanga tena
 
Ndelichako akome, mimi niliomba kazi ya kudai madeni pale Bodi ya mkopo, ila nilinyimwa nafasi, kisa sina ndugu pale, sasa sina ajira unategemea ntalipaje mkopo, nipe ajira uone kama ntakwepa?
Sasa wasomi mkisema hamna ajira, mnataka nani awaajiri, maana tulitegemea elimu itawafanya kuwa waajiri ili hawa mburura wasio na elimu waje kuomba kazi kwenu, angalieni msije mkaajiriwa na hawa matajiri wasio na elimu na elimu ikaonekana haijawakomboa..!!
 
Back
Top Bottom