Nimekupata kijanaNa wewe utakuwa hauna kazi sasa utakaa chini kusoma MWANANCHI lenye majina 2000 ya wanaodaiwa na bodi!?
2000? 100,000!Na wewe utakuwa hauna kazi sasa utakaa chini kusoma MWANANCHI lenye majina 2000 ya wanaodaiwa na bodi!?
Mwambie hayaweke isiwe tabu kwanza msiba wa wengi kwetu sherehe.AAAAAAAAAAAAAAAhhhhhhhhhhhhhh udhalilishaji gani, mlipopata mlitangazwa hadharani lakini wakati wa kudaiwa hamtaki....yale yale aliyosema JPM yaani wale mafisadi wanaiba hadharani lakini ukiwatumbua hadharani wanalalamika na kutetewa eti haki za binadamu zinakiukwa....Hoja pekee yenye mashiko katika suala hili ni kwamba wengi hawana uwezo wa kulipa kwa kuwa hawana ajira, hiyo ndiyo hoja na siyo vinginevyo...
Hahaaa,it is really funny!Teh teh..nitajichukulia ujiko kuandikwa gazetini.
Habari ndioo hiyooDawa ya deni kulipa
Atuite kabisa kwenye interview anialike mimi nadaiwa..!
Nina hasira na serikali kunipotezea muda wangu miaka mitatu ukilinganisha na viela vyao wanavyotudai..
Elimu yenyewe tumepewa fake..!
Mkuu ujasikia kuvunjwa kea tbs ya elimu TCU sasa mkaguzi wa elimu mwenyewe ni feki atawezaje kusimamia watoa elimu wenyewe watoe elimu original??Umenichekeshaje,elimu mliyopewa eti ni feki,rafiki ipeleke TBS ikafanyiwe assessment!
Hebu mnaojua huu mfumo mtuambie wapi serikali imeshindwa kuwabaini wadaiwa.....??? Je ni kweli data za kumbukumbu zilipotezwa
Waliosoma kuanzia 1995 wao walisomaje iwapo wa nyuma wamesamehewa na vigezo gani vilitumika kusamehe wa miaka hiyo ya nyuma tu.Kwanini hawakuwasamehe wa kuanzia 2000 kurudi nyuma?Wapewe msamaha,alafu wadogo zako,ndugu na watanzania wngine wasomeje?