Wadau, naona Muungano huu haupo. Tujiandae kisaikolojia. Nashauri ukishavunjika taifa letu liendelee kuitwa Tanzania, maana wengi hatuijui Tanganyika. Mnasemaje?
Wadau, naona Muungano huu haupo. Tujiandae kisaikolojia. Nashauri ukishavunjika taifa letu liendelee kuitwa Tanzania, maana wengi hatuijui Tanganyika. Mnasemaje?
Wadau, naona Muungano huu haupo. Tujiandae kisaikolojia. Nashauri ukishavunjika taifa letu liendelee kuitwa Tanzania, maana wengi hatuijui Tanganyika. Mnasemaje?
Jamani watanganyika wenzangu ila hamna haja ya kuwaachia hao midebwedo kale ka-nchi kao kwani nasikia kana mafuta na gas so ni vyema tukachimba ss weeee, alafu tukimaliza ndo tuwape wauwane pia tutakuwa tumefidia gaharama za makanisa na bar zilizochomwa kule kwao.
Hata muungano ukivunjika bora itabaki 'THE REPUBLIC OF TANZANIA'. binafsi jina la wajerumani 'tanganyika' silipendi.Kwa mwendo huu bora Muungano uvunjwe Wazanziberi warudi kwao na Watanganyika turudi kwetu, TUIJENGE TANGANYIKA YETU!
Na huko bara waislamu ndio wengi kuliko nyie, mkiendelea kuwa nyanyasa na kuwanyima elimu watawafanya kama sisi. Kumbukeni wao ndio walioleta uhuru kwa kumkaribisha nyerere ili awashawishi wakristo/wamissionary walokuwa wanakumbatia ukoloni. Japo nyerere aliwasaliti na kuwanyima maendeleo hasa katika mikoa yao.