Nchi haina sukari, maji, umeme na dola

MNANSO

JF-Expert Member
Jul 18, 2015
2,772
3,018
Naangalia Azam tv now, nchi yetu imeadimika sukari, maji, umeme na dola. Na hili joto kazi tunayo
 
Bado kidoooogo, hata wao wataendelea kuwa nazo ila hawana cha kununua!
 
• Aliye zungumzia vyeti fake nani???
• Ninacho mlaumu aliharibu kupeleka nyumbu pale bungeni....

Sijui umenielewa mwana FISI EMU.
Kwa hiyo wangekuwepo hao wa upinzani sukari isingeadimika na kusingekuwa na mgao wa umeme?

Hivi unafahamu toka vyama vingi vinaasisiwe 1992 hakuna mswada wowote ulipelekwa bungeni ukakwama sababu ya uwepo wa wapinzani.

Hata ungepelekwa mswada wa kufuta multiparty ungepita huku wakiwemo.

Mnatumia viungo gani kufikiri?
 
Back
Top Bottom