M MNANSO JF-Expert Member Jul 18, 2015 2,772 3,018 Feb 20, 2024 #1 Naangalia Azam tv now, nchi yetu imeadimika sukari, maji, umeme na dola. Na hili joto kazi tunayo
Nyafwili JF-Expert Member Nov 27, 2023 2,774 6,885 Feb 20, 2024 #3 • Tungekuwa na Rais, baadhi ya mambo yangeenda vizuri.. • Mwendazake aliharibu sana mambo hapa Tz 🤒🤒
Mr Slim JF-Expert Member Sep 11, 2018 1,914 3,415 Feb 20, 2024 #4 Utakuta hata Mr Rais nae hajui afanyeje.
Ushimen JF-Expert Member Oct 24, 2012 37,213 85,335 Feb 20, 2024 #5 Iposiku tutakosa hadi pumzi na tutakufa kifala sana
N Nunio JF-Expert Member Sep 17, 2013 748 1,829 Feb 20, 2024 #6 Bado kidoooogo, hata wao wataendelea kuwa nazo ila hawana cha kununua!
To yeye JF-Expert Member Oct 4, 2022 28,210 65,815 Feb 20, 2024 #7 Na ndoa njema za kudumu zimeadimika
Karne JF-Expert Member Jun 13, 2016 7,490 12,170 Feb 20, 2024 #9 Nyafwili said: • Aliye zungumzia vyeti fake nani??? • Ninacho mlaumu aliharibu kupeleka nyumbu pale bungeni.... Sijui umenielewa mwana FISI EMU. Click to expand... Kwa hiyo wangekuwepo hao wa upinzani sukari isingeadimika na kusingekuwa na mgao wa umeme? Hivi unafahamu toka vyama vingi vinaasisiwe 1992 hakuna mswada wowote ulipelekwa bungeni ukakwama sababu ya uwepo wa wapinzani. Hata ungepelekwa mswada wa kufuta multiparty ungepita huku wakiwemo. Mnatumia viungo gani kufikiri?
Nyafwili said: • Aliye zungumzia vyeti fake nani??? • Ninacho mlaumu aliharibu kupeleka nyumbu pale bungeni.... Sijui umenielewa mwana FISI EMU. Click to expand... Kwa hiyo wangekuwepo hao wa upinzani sukari isingeadimika na kusingekuwa na mgao wa umeme? Hivi unafahamu toka vyama vingi vinaasisiwe 1992 hakuna mswada wowote ulipelekwa bungeni ukakwama sababu ya uwepo wa wapinzani. Hata ungepelekwa mswada wa kufuta multiparty ungepita huku wakiwemo. Mnatumia viungo gani kufikiri?