Nimezunguka Gongolamboto sokoni hakuna sukari, hivi hii nchi ina uongozi?

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,712
36,174
Daaaaahh

Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi.

Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa.

Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.

Kiongozi mkuu wa usimamizi wa sera za nchi Waziri mkuu alisema mpaka Ramadhani sukari itakuwa ya kutosha. Vichekesho kweli.

Sasa Ramadhani na sukari vina uhusiano gani?
 
Daaaaahh

Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi.

Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa.

Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.

Kiongozi mkuu wa usimamizi wa sera za nchi Waziri mkuu alisema mpaka Ramadhani sukari itakuwa ya kutosha. Vichekesho kweli.

Sasa Ramadhani na sukari vina uhusiano gani?
Maadamu ndege ina mafuta ya mama wa kizimkazi kuzunguka dunia nzima hayo mambo ya sukari tutajua wenyewe

Waafrika alietuloga kweli ni mchawi hasa
 
Daaaaahh

Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi.

Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa.

Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.

Kiongozi mkuu wa usimamizi wa sera za nchi Waziri mkuu alisema mpaka Ramadhani sukari itakuwa ya kutosha. Vichekesho kweli.

Sasa Ramadhani na sukari vina uhusiano gani?
Sukari imeenda wapi? Kiongozi upo wewe Mkuu wa kaya peleka sukari nyumbani 😆😆
 
Bodhaa za mwendo wa kuruka karne hii kwa kweli?
Afrika lini wataamka
Nchi inakosa sukari? What a joke
 
Tumia asali

OIG (7).jpeg
 
Nchi za nje ya Afrika kiongozi anachaguliwa kwa kuwahakikishia usalama wananchi, ushirikiano ama kutoshirikiana na nchi zingine. Kuwaonyesha approach yao ya uchumi itavyokua.

Afrika ni sukari, umeme, barabara, maji
 
Ndio maana wazungu waliachana na miwa kutoka utumwani huko walikowapeleka maana imekuwa mbali na gharama pia
Kuna alievumbua mmea mmoja ambao ndio wanalima sasa hapa kwao na kutengeneza sukari
Sijui kwanini na sisi hatulimi sugar beats
Screenshot_20240217_070325_Google~2.png
 
Ndiyo wakati wa nyie kuachana na matumizi ya sukari,isiwe lazimaaa
Ona watu wanavyohaha kama mateja,
Huu uraibu sasa

Ova
 
Back
Top Bottom