Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,712
- 36,174
Daaaaahh
Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi.
Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa.
Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.
Kiongozi mkuu wa usimamizi wa sera za nchi Waziri mkuu alisema mpaka Ramadhani sukari itakuwa ya kutosha. Vichekesho kweli.
Sasa Ramadhani na sukari vina uhusiano gani?
Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi.
Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa.
Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.
Kiongozi mkuu wa usimamizi wa sera za nchi Waziri mkuu alisema mpaka Ramadhani sukari itakuwa ya kutosha. Vichekesho kweli.
Sasa Ramadhani na sukari vina uhusiano gani?