Waridi
JF-Expert Member
- Mar 30, 2008
- 1,025
- 172
Your arrogance is well depicted in your English. It is part of what will lead you nowhere.NCCRs your insignificants to the people politics so shut-up ****up.
Your arrogance is well depicted in your English. It is part of what will lead you nowhere.NCCRs your insignificants to the people politics so shut-up ****up.
ni ninyi mliokuja kwetu kuomba ushirikiano na maelewano
Mkuu NCCR kama chama hakina shida lakini tatizo tu ni kibaraka Mbatia.
Mkuu NCCR kama chama hakina shida lakini tatizo tu ni kibaraka Mbatia.
I dont need to mark your words, weka ushahidi jamvini
Sifa za Mbatia:Mimi sioni tatizo la Mbatia kuteuliwa kuwa Mbunge na Rais aliyeingia madarakani kwa mgongo wa CCM. Ni jambo la kawaida na la kikatiba alilofanya Rais. Uteuzi huo haumfanyi Mbatia kuwa kibaraka wa CCM kwa kuhemekea uteuzi huu. Ndio maana kaweka wazi kabisa kwamba angali mpinzani na Bungeni ni wembe ule ule wa kujiunga na ambi ya upinzani.
Mkuu kusema ukweli ni matusi? Mbatia ni CCM B Mark my words
Kwanza ni miongoni mwa watu walioshiriki vurugu za kuua NCCR enzi ya Mrema.Pili alimuelekeza mgombea urais wa NCCR Hashim Rungwe asiiseme vibaya CCM.Tatu alikuwa akiishambulia CDM muda wote wakati wa uchaguzi mwaka juzi.Nne aliitukana CDM kwamba ni chama cha kumwaga damu kutokana na maandamano yake.Unataka ushahidi gani tena zaidi ya huu?Thibitisha madai yako
Kwanza ni miongoni mwa watu walioshiriki vurugu za kuua NCCR enzi ya Mrema.Pili alimuelekeza mgombea urais wa NCCR Hashim Rungwe asiiseme vibaya CCM.Tatu alikuwa akiishambulia CDM muda wote wakati wa uchaguzi mwaka juzi.Nne aliitukana CDM kwamba ni chama cha kumwaga damu kutokana na maandamano yake.Unataka ushahidi gani tena zaidi ya huu?
Sifa za Mbatia:
Kwanza ni miongoni mwa watu walioshiriki vurugu za kuua NCCR enzi ya Mrema.Pili alimuelekeza mgombea urais wa NCCR Hashim Rungwe asiiseme vibaya CCM.Tatu alikuwa akiishambulia CDM muda wote wakati wa uchaguzi mwaka juzi.Nne aliitukana CDM kwamba ni chama cha kumwaga damu kutokana na maandamano yake.Unataka ushahidi gani tena zaidi ya huu?
Soma kitabu cha Ndimara Tegambwage (Mtafaruku na Hatima ya Mageuzi) kuhusu nini kilitokea enzi za Mrema, husan udikteta uliojitokeza na wahuni waliotafuna fedha. Alichoambiwa Rungwe ni kwamba badala ya kurusha matusi atangaze sera za chama. Wakati wa uchaguzi aliyeendesha matusi dhidi ya mwenziwe ni CDM, kwa kukibatiza NCCR jina la kihuniKwanza ni miongoni mwa watu walioshiriki vurugu za kuua NCCR enzi ya Mrema.Pili alimuelekeza mgombea urais wa NCCR Hashim Rungwe asiiseme vibaya CCM.Tatu alikuwa akiishambulia CDM muda wote wakati wa uchaguzi mwaka juzi.Nne aliitukana CDM kwamba ni chama cha kumwaga damu kutokana na maandamano yake.Unataka ushahidi gani tena zaidi ya huu?
Soma kitabu cha Ndimara Tegambwage (Mtafaruku na Hatima ya Mageuzi) kuhusu nini kilitokea enzi za Mrema, husan udikteta uliojitokeza na wahuni waliotafuna fedha. Alichoambiwa Rungwe ni kwamba badala ya kurusha matusi atangaze sera za chama. Wakati wa uchaguzi aliyeendesha matusi dhidi ya mwenziwe ni CDM, kwa kukibatiza NCCR jina la kihuni
ni kweli haikupoteza muda ndio maana ikaja kuomba yaisheMkuu kwenye kampeni CDM ilikuwa inahangaika na mpinzani wake mkuu CCM.CDM haiwezi kupoteza muda na NCCR.Kinachofanywa tu ni kuwatanabaisha wananchi mamluki wachache waliojificha upinzani ili kufifisha juhudi za mageuzi.
my take: kuusishwa na ccm ni tusi kubwa sana.
ni kweli haikupoteza muda ndio maana ikaja kuomba yaishe
View attachment 55390