KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Kwanza ni miongoni mwa watu walioshiriki vurugu za kuua NCCR enzi ya Mrema.Pili alimuelekeza mgombea urais wa NCCR Hashim Rungwe asiiseme vibaya CCM.Tatu alikuwa akiishambulia CDM muda wote wakati wa uchaguzi mwaka juzi.Nne aliitukana CDM kwamba ni chama cha kumwaga damu kutokana na maandamano yake.Unataka ushahidi gani tena zaidi ya huu?
Kaka sisi waswahili tuna msemo 'ASIYETAKA KUJUA MAANA USIMWAMBIE MAANA MAANA HATA AKISHAJUA MAANA AITAKUWA NA MAANA.