NCCR yamtaka Mh Ezekiel Wenje kuomba radhi

NCCR Mageuzi kimekitaka CHADEMA kuomba radhi ndani ya wiki moja kufuatia shutuma zilizotolewa na Mbunge wa Nyamagana kuwa NCCR ni CCM B

Woga si kitu kizuri katika akili za bidamu. Uongozi wa nccr uamue kuelewa kabla ya kuamini au uamini kabla ya kuelewa badala ya kulalamika.Hata hivyo mtoa thread tupatie source ya habari hii.
 
Machali simuelewi.huyu dogo sisi hapa ksulu tulipigana kufa kupona had akashinda.nasikitika kulifahamisha jamvi ili kuwa tangu mwez wa 10 mwaka jana hajawai fanya mkutano hapa mjini. Taarifa zilizopo e ti anasoma masters. Kinachomgalimu jimbon ni kumkumbatia mbatia ambaye ni unt-opposition. Karibia bunge linaanza.hajaonekana jimbon ili tumpe maoni yetu. Tumeishaandaa kijana mwingine wa cdm ili 2015 naye awe kama nsanzugwanko
 
Mkosamali na NCCR yake,wote ni wepesi mno hawawezi mziki wa CHADEMA hata walale wanafanyaje,ukweli utadhiilika bungeni,mtaniambia
 
Akiongea kwa jazba kali Mh moses Machali alisema kua kitendo alichokifanya Wenje kumuita mwenyekiti wao James Mbatia kua ni kibaraka kwa kukubali uteuzi wa rais hakiwezi kuvumilika na kumtaka Wenje kuomba radhi na kufuta kauli yake.

sasa wenje atamuomba nani msamaha na wakati chama cha nccr na wanachama wake wameshakufa, ataomba msamaha maiti?
 
NCCR ni CCM-B anayebisha hilo ana lake jambo. Ndo maana CCM kulipa fadhila wakaamua kuwazawadia nafasi ya ubunge
 
Wapinzani mnatakiwa kuwa kitu kimoja.

ritz@ umesema ukweli mtupu, nilisoma habari hii nilishangaa kwani hivi majuzi tu wamekuwa na maongezi ya pamoja hadi kufuta kesi ya Mdee, sasa kuja na kauli hiyo si dalili nzuri ya vyama vya upinzani kuwa na nguvu moja.
 
ritz@ umesema ukweli mtupu, nilisoma habari hii nilishangaa kwani hivi majuzi tu wamekuwa na maongezi ya pamoja hadi kufuta kesi ya Mdee, sasa kuja na kauli hiyo si dalili nzuri ya vyama vya upinzani kuwa na nguvu moja.
Hao ndio CHADEMA, juzi juzi tu walikuja kwetu wakiomba tuyamalize na kesi ya Kawe ifutwe, tukawasikiliza na wakaahidi kuacha tabia zao za matusi na kejeli dhidi yetu. Baada ya kuwafutia kesi kama walivyoomba sasa wameshatuona mabwege.
 
Hao ndio CHADEMA, juzi juzi tu walikuja kwetu (NCCR) wakiomba tuyamalize na kesi ya Kawe ifutwe, tukawasikiliza na wakaahidi kuacha tabia zao za matusi na kejeli dhidi yetu. Baada ya kuwafutia kesi kama walivyoomba sasa wameshatuona mabwege.
 
Hao ndio CHADEMA, juzi juzi tu walikuja kwetu (NCCR) wakiomba tuyamalize na kesi ya Kawe ifutwe, tukawasikiliza na wakaahidi kuacha tabia zao za matusi na kejeli dhidi yetu zilizosababisha tukawapeleka mahakamani. Baada ya kuwafutia kesi kama walivyoomba sasa wameshatuona mabwege. This has been fully recorded
 
Hao ndio CHADEMA, juzi juzi tu walikuja kwetu wakiomba tuyamalize na kesi ya Kawe ifutwe, tukawasikiliza na wakaahidi kuacha tabia zao za matusi na kejeli dhidi yetu. Baada ya kuwafutia kesi kama walivyoomba sasa wameshatuona mabwege.

Nadhani hili suala litazamwe kama mtu binafsi katoa tamko, kwani hawana utaratibu wa kuratibu nini kitaongelewa katika mikutano yao na nani aongelee nini na hakuna ile limit ya kuongea mtu atakavyo ndio maana hata dogo kule Arusha akagusia jambo ambalo hata mtoto mdogo alishangaa mbunge kumtena Rais kutoka eneo fulani.
 
Tusikurupuke,Wenje alitoa kauli hiyo ktk mazingira gani,maada ipi na akiwa anaongea na nani,na ni kwa sababu zipi? Huwezi kuongea from nowhere kwamba NCCR ni ccm B ila ni kwa kuwa kuna background information.Mfano,wabunge wanatenda kazi kwa ajili ya kutekeleza sera za vyama vyao.Sasa tudadavue kidogo:mbunge wa NCCR alieteuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM,atafanya kazi kwa misingi ya sera zipi NCCR au MAGAMBA?
 
Back
Top Bottom