ushauri ndio huo umeshapewa na binamu zako au unataka tukuambie umuoe huyo mjukuu?Nimempenda mjukuu wa shemeji yake shangazi yangu.
Ninampango wa kumuoa but binamu zangu wananikatalia eti ndugu.
Jamani hebu nipeni ushauri hapa
kwani wanawake wameisha bana mpaka akambanebane ndugu yake hata kama ni wa mbali kiasi ganihiyo iko wazi kabisa huyo ni ndugu wa mbali sana hata mambo ya genetics hayawezi kuwaathiri katika vizazi vyenu. kila la heri
kwani wanawake wameisha bana mpaka akambanebane ndugu yake hata kama ni wa mbali kiasi gani
Nimempenda mjukuu wa shemeji yake shangazi yangu.
Ninampango wa kumuoa but binamu zangu wananikatalia eti ndugu.
Jamani hebu nipeni ushauri hapa
Nimempenda mjukuu wa shemeji yake shangazi yangu.
Ninampango wa kumuoa but binamu zangu wananikatalia eti ndugu.
Jamani hebu nipeni ushauri hapa
kwani mpaka ule zizi la nyumbani? Mbona inawezekana msichana mzuri na anayefaa kuwa mke wako yupo 5km kutoka hapo ulipo? Na mwingine yupo 200km. Mjukuu wa shangazi yako, ni sawa na mjukuu wa baba yako (baba na shangazi ni mtu na dada yake), na ni sawa na mtoto wako. Upo hapo? Genetically sio safi sana. Kama kuna inferior traits kwenye ukoo wenu, zinaweza kujitokeza kwa watoto wako.
kwani wewe maeneo unayokaa hakuna mabinti wengine wanaofaa kuolewa na wewe???. Acha tamaa ya fisi. Inawezekana wanaokukataza wanajua kikwazo kiko wapi.
si dhani kama kuna mila yoyote hapa wananibania tu hawa
kwani mtu anapofanya uamuzi wa kumuoa fulani say judith, ina maana wanawake wameisha duniani? Kuoa si kuoa tu jamani? Pia sioni kama ni kumbanabana bwana, huwezijua walikotokea