Naweza kujenga nyumba kwa TZS Milioni 20?

Free lancer asipokuwa na clear address... naona kama inasumbua vichwa zaidi.


Hili suala lako gumu kujibika but ninafanya kazi Ki-Freelance zaidi.

Wewe mwaga kampuni yako nikulete wateja wasiokuwa na milioni 100 :]
 
Lakini hapo kwenye tofali kidogo panahitaji marekebisho mie ninaishi kigamboni tofali mpaka site ni 850/= mpaka 950/= chukulia bei ya tofali ni shillingi 1000. Hivyo 5000x1000=5,000,000/= ndio hesabu sahihi na kwa upande wa bati inategemea unapaua kwa style gani huenda zikafika bati mpaka 100x15000= 1500,000. Nafikiri ukiwa na million 30 cash in hand unaweza jenga nyumba ukabakiwa na finishing ndogo, this is from my experience.

Kwa kuwa kiwanja unacho millioni 20 mbona unahamia kwenye nyumba lakini finishing hutamaliza. Angalia mgawanyo wa gharama ( I assume uko Dar es Salaam na nyumba unayojenga ni ya mtu anayejenga nyumba yake ya kwanza):
  1. Matofali 5,000 @700=TZS3,500,000
  2. Mafundi (kujenga toka msingi mpaka kuezeka)=4,000,000/=
  3. Cement mifuko 150 @15,000=2,250,000/=
  4. Mbao zote TZS4,000,000/=
  5. Bati 60 @ 15,000=900,000/=
  6. Fundi umeme na vifaa vyake=5,000,000/=
  7. Finishing (madirisha na milango)=5,000,000/=
  8. Finishing (plastering + ceiling works)=5,000,000/=
 
Lakini hapo kwenye tofali kidogo panahitaji marekebisho mie ninaishi kigamboni tofali mpaka site ni 850/= mpaka 950/= chukulia bei ya tofali ni shillingi 1000. Hivyo 5000x1000=5,000,000/= ndio hesabu sahihi na kwa upande wa bati inategemea unapaua kwa style gani huenda zikafika bati mpaka 100x15000= 1500,000. Nafikiri ukiwa na million 30 cash in hand unaweza jenga nyumba ukabakiwa na finishing ndogo, this is from my experience.

ndugu ujenzi sio mchezo na kuchakata kama ulivyofanya vitu ving umeacha
kuna misumar, maji, kokoto, nondo, mbao za linta hata kama una kodisha, kench wire, hiyo nyumba haina choo? xo kuna mambo mengi sana ikiwemo gharama ya usafiri wa vifaa, kifupi unaweza kujenga nyumba ndogo sana labda ya matofal 3000 hiv lakini sio 5000. kingine na eneo pia lipo mazingira gani bonden, kiliman au flat area muhimu sana! ni hayo tu
 
Mwakasimba ushajenga au una nyumba ngapi? mie ninajua ninachokiongea, ndo mana kwenye estimation lazima uende juu kuweza kukava hiden cost kama usafiri wako mwenyewe ukiwa site kuna emegency mimi nimejenga ninajua ninachoongea



ndugu ujenzi sio mchezo na kuchakata kama ulivyofanya vitu ving umeacha
kuna misumar, maji, kokoto, nondo, mbao za linta hata kama una kodisha, kench wire, hiyo nyumba haina choo? xo kuna mambo mengi sana ikiwemo gharama ya usafiri wa vifaa, kifupi unaweza kujenga nyumba ndogo sana labda ya matofal 3000 hiv lakini sio 5000. kingine na eneo pia lipo mazingira gani bonden, kiliman au flat area muhimu sana! ni hayo tu
 
Kwa nyumba ya kawaida na kwa mtu waq kawaida anaehitaji kuwa na pahala comftable pa kuishi hizo hesabu hapo na marekebisho hayo na pia usimamiaji wa kazi unajenga nyumba kwa milioni 30 bila shida labda kiwanja kiwe katika mazingira magumu.

Mwakasimba ushajenga au una nyumba ngapi? mie ninajua ninachokiongea, ndo mana kwenye estimation lazima uende juu kuweza kukava hiden cost kama usafiri wako mwenyewe ukiwa site kuna emegency mimi nimejenga ninajua ninachoongea
 
vyumba vinne means one bed room, sebule moja, jiko na stoo moja na choo kimoja. ila vyote vinakuwa ndani

chumba kimoja cha msingi wa kozi tatu ni matofari 300 * 4 = 1200

au kozi tano ni matofari 500 * 4= 2000

maximum tofari 3000/50 = 60 mifuko ya cement. * 14000= 840,000
mafundi matofali + mchanga + machine+ kumwagilia= 900,000

fundi kujenga mpaka linta + kupiga linta na kuinua kozi za juu= 2,000,000

fundi kuezeka 600,000

mbao treated ( inategemea na design) maximum= 1,000,000

bati 28 geji 120 * 160,000= 2,300,000

dirisha moja 240000 * 10 = 2,400,000

milango 7 * 150,000= 1,050,000

kupiga ripu fundi + cement + mchanga = 800,000( ndani) + 800,000 ( nje)

gypsum = 60 * 14,000= 840,000

fundi gypsum + rangi= 600,000

tyles nyumba yote = 1,500,000

fundi tiles= 500,000

wiring vifaa= 1,500,000

fundi wiringi = 600000

pigeni jumla ni ngapi haya ni mahesabu ya juu sana


Kwenye milango na mbao treated na madirisha ,hela yakuezeka upo chini sana mkuu sijui kama kweli utapata kwa hzo garama..
 
Mwakasimba ushajenga au una nyumba ngapi? mie ninajua ninachokiongea, ndo mana kwenye estimation lazima uende juu kuweza kukava hiden cost kama usafiri wako mwenyewe ukiwa site kuna emegency mimi nimejenga ninajua ninachoongea

usi paic bro.. kuwa mpole. kila mtu hapa ana share anachokijua..
 
Karibuni mkoani tabora .
Kiwanja 360000
mchanga trip 30000
fudi kujenga nyumba ya vyumba 6 sh300000
kufyatua tofali@200
cement 18000
nilipata 2 milion..
nimejenga msingi na nina tofali 1200 za block

Mmmmh hizo bei kama sijazielewa vile!! viwanja kama ndio bei zake hizo Mengi akisikia ataununua mkoa mzima... Maana Prof.Muhongo alisema Mengi anamiliki ardhi ukubwa wake ni sawa na Dar Es Salaam Tatu
 
Kwa kuwa kiwanja unacho millioni 20 mbona unahamia kwenye nyumba lakini finishing hutamaliza. Angalia mgawanyo wa gharama ( I assume uko Dar es Salaam na nyumba unayojenga ni ya mtu anayejenga nyumba yake ya kwanza):
  1. Matofali 5,000 @700=TZS3,500,000
  2. Mafundi (kujenga toka msingi mpaka kuezeka)=4,000,000/=
  3. Cement mifuko 150 @15,000=2,250,000/=
  4. Mbao zote TZS4,000,000/=
  5. Bati 60 @ 15,000=900,000/=
  6. Fundi umeme na vifaa vyake=5,000,000/=
  7. Finishing (madirisha na milango)=5,000,000/=
  8. Finishing (plastering + ceiling works)=5,000,000/=
haujeweka choo hap na kuchimba shimo lake
 
Nyie bhaaana.... unajenga vizuur saaaana teena saaaana anaebisha alete point na gharama za ujenzi..... hiv m20 munaichukulia ndogo nin
 
Kwa kuwa kiwanja unacho millioni 20 mbona unahamia kwenye nyumba lakini finishing hutamaliza. Angalia mgawanyo wa gharama ( I assume uko Dar es Salaam na nyumba unayojenga ni ya mtu anayejenga nyumba yake ya kwanza):
  1. Matofali 5,000 @700=TZS3,500,000
  2. Mafundi (kujenga toka msingi mpaka kuezeka)=4,000,000/=
  3. Cement mifuko 150 @15,000=2,250,000/=
  4. Mbao zote TZS4,000,000/=
  5. Bati 60 @ 15,000=900,000/=
  6. Fundi umeme na vifaa vyake=5,000,000/=
  7. Finishing (madirisha na milango)=5,000,000/=
  8. Finishing (plastering + ceiling works)=5,000,000/=
kwa raman ipi mkuu, naona umekokotoa tu raman ip iyo nyumba, cz naamin ukokotoz wa vifaa it depend na raman ya nyumba
 
Back
Top Bottom