Elimringi moshi
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 191
- 108
Hahahah, lol mbavu sina mie kama hujui kizungu ushauri wa kutumia viroba ni upuuzi utaendelea kubonga broken bila kua na aibu sasa kama sio kujiabisha nini?
Pombe inamsaidia yule anaeijua hiyo lugha ila hana confidence mbele za watu... Ila kama huna unachokijua hata ukinywa kreti zima la bia unajisumbua... Tatizo waTz tunafikilia kwa kiswahili halafu tunataka kuiwasilisha fikra ya kiswahili kwa kiingereza kitu ambacho ni ndoto za mchana ndio maana unakuta mtu anaongea kiingereza mbele ya kadamnasi ghafla anatokwa na maneno ya kiswahili kwa kua hiyo ndio lugha anayoitumia kufikiria kabla hajatamka neno anatafsiri kwa kiingereza mwenyewe ndio analitoa kwa kadamnasi ndio maana wengine wanadai wanapatwa na kigugumizi kumbe ni kwa kua kuna process kibao zinafanyika kichwan kwake kabla hajatamka neno la kiingereza.. pia
You can learn how to speak a proper and fluent english by first leaning how to talk to yourself and answer yourself (personal dialogue) if you can manage this excise you can make it
Pombe inamsaidia yule anaeijua hiyo lugha ila hana confidence mbele za watu... Ila kama huna unachokijua hata ukinywa kreti zima la bia unajisumbua... Tatizo waTz tunafikilia kwa kiswahili halafu tunataka kuiwasilisha fikra ya kiswahili kwa kiingereza kitu ambacho ni ndoto za mchana ndio maana unakuta mtu anaongea kiingereza mbele ya kadamnasi ghafla anatokwa na maneno ya kiswahili kwa kua hiyo ndio lugha anayoitumia kufikiria kabla hajatamka neno anatafsiri kwa kiingereza mwenyewe ndio analitoa kwa kadamnasi ndio maana wengine wanadai wanapatwa na kigugumizi kumbe ni kwa kua kuna process kibao zinafanyika kichwan kwake kabla hajatamka neno la kiingereza.. pia
You can learn how to speak a proper and fluent english by first leaning how to talk to yourself and answer yourself (personal dialogue) if you can manage this excise you can make it