Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,601
ha ha ha ha ha haduuu tatizo langu ni lako sasa mimi hadi jasho linanitoka sasa sijui kiingereza kina jiko la gesi au vipi
ha ha ha ha ha haduuu tatizo langu ni lako sasa mimi hadi jasho linanitoka sasa sijui kiingereza kina jiko la gesi au vipi
Wewe una lako, wala sio kwamba una shida.MGOGO! Ngoja nifanye mazoezi maana j4 nakutana na wazungu fulani lazima nijiweke sawa. Mimi nipo Halmashauri fulani (Jina kapuni) sasa hao wazungu wanataka kuja kuwekeza lazima tuongee nao kwa kina! Daah Aisee namlaumu Babu wa Taifa hili kwa kukazania KISWAHILI tu. Ona sasa tunavochoreka na Digrii zetu za SAYANSI. the the the kibao. Najuta kusoma Bsc.
hahaha ...mkuu ulitisha sana...Kuna siku nilienda ofisi fulani nilikuwa na shida na marketing manager katika hiyo ofisi kubwa tu.
Baada ya kumweleza secretary kwa ufupi akaenda kuniitia bwana.
Yule jamaa alikuwa mzungu inaonesha anatokea london mjini kabisa kwa akina blair, kingereza chake kilikuwa hakieleweki yaani anacharaza kama cherehani, labda akiongea ufanye kuandika kwanza. Yaani ilikuwa aibu pale.
Ili kujinasua, nikatema yai broken mfulululizo bila kumpa nafasi ya kuongea halafu nikasema thank you, nikamwambia secretary utamwelekeza vizuri kama nilivyokwambia eeh!
Ndio maana hiyo lugha siipendagi kabisa.
British Council gharama zao kiasi gani?Dawa yake ni konyagi tu, yaani wewe ukiona unataka kugonga yai kwenye kadamnasi tafuta mzinga moja, tatizo litaisha, tatizo likiendelea waone BRITISH COUNCIL.
Mkuu wewe humpendi huyu akifuata ushauri wako halafu akashindwa kukiongea ataishia kulia kwa sautiDawa yake ni konyagi tu, yaani wewe ukiona unataka kugonga yai kwenye kadamnasi tafuta mzinga moja, tatizo litaisha, tatizo likiendelea waone BRITISH COUNCIL.
Kuna siku nilienda ofisi fulani nilikuwa na shida na marketing manager katika hiyo ofisi kubwa tu.
Baada ya kumweleza secretary kwa ufupi akaenda kuniitia bwana.
Yule jamaa alikuwa mzungu inaonesha anatokea london mjini kabisa kwa akina blair, kingereza chake kilikuwa hakieleweki yaani anacharaza kama cherehani, labda akiongea ufanye kuandika kwanza. Yaani ilikuwa aibu pale.
Ili kujinasua, nikatema yai broken mfulululizo bila kumpa nafasi ya kuongea halafu nikasema thank you, nikamwambia secretary utamwelekeza vizuri kama nilivyokwambia eeh!
Ndio maana hiyo lugha siipendagi kabisa.
Tatizo lako unataka kuongea kingereza cha darasani ... Yani utumie sarufi we gonga yai kama unavyoongea kiswahili
Ah ah ah ah uhiii nipo mtaani nimechekaKuna siku nilienda ofisi fulani nilikuwa na shida na marketing manager katika hiyo ofisi kubwa tu.
Baada ya kumweleza secretary kwa ufupi akaenda kuniitia bwana.
Yule jamaa alikuwa mzungu inaonesha anatokea london mjini kabisa kwa akina blair, kingereza chake kilikuwa hakieleweki yaani anacharaza kama cherehani, labda akiongea ufanye kuandika kwanza. Yaani ilikuwa aibu pale.
Ili kujinasua, nikatema yai broken mfulululizo bila kumpa nafasi ya kuongea halafu nikasema thank you, nikamwambia secretary utamwelekeza vizuri kama nilivyokwambia eeh!
Ndio maana hiyo lugha siipendagi kabisa.