Natamani kusoma Mechanical Engineering, naomba ushauri

David11

Member
Mar 15, 2024
14
6
Mimi mdogo wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni kama ifuatavyo

Phy D math D chemia C Biology C.

Huo ndio ufaul wang na Nia yangu ilikuwa ni kwenda chuo nikasomee mechanical engineering badala ya kwend advance maan combination zinabalance arts na mm Sina Nia ya kusoma arts
 
Mechanical engineering soko la ajira linetawaliwa na mafundi wasio na elimu.

Ufundi hautazami cheti bali ni ujuzi wa kufufua mitambo ama engine zilizofeli.

Hivyo waajiri hawaoni umuhimu wa kuajiri mechanical engineers wengi. Maana wanajua kazi zinafanywa na mafundi wa mitaani tu wenye uzoefu wanaajiri engineer mmoja tu wa kuzugia
 
Back
Top Bottom