GPA yako ilikuwa ngapi wewe tuanzie hapo!
Unaonekana tu! umeunga unga sana anyway yote maisha
hahaaa kwani darasa la saba kuna GPA hata hivyo!!!??
From today onward no wasting my precious time .....sawa? unatoka nje ya mada, toa hongera kwa Immaculata na ushauri. Majina pia kwa watoto yana maana sana wewe unamwita Mtoto wako Matatizo Fidel, unategemea nini mtoto akikuwa?
Kama hujui maana ya Immaculate ni 1. Impeccably clean; spotless.
2. Free from stain or blemish; pure.
3. Free from fault or error
4. Having no markings
Go go go my daughter!!! ....you have an immaculate records.
au unamwita mtoto MATATIZO!!!
anyway nishampa binti hongera sana mie pia natamani angekuwa mdogo wangu!!! eti sura ya mbuzi ....who says
binti ni mrembo tu hapo hakajajua kujikwatua.......
Immaculate anafanya mambo kwa wakati!!! huu sio wakati wake wa kuanza kujipodoapoda ngoja amalize kukamua kwanza!!!!!!!!!
Hahahaha unamwita mtoto Bakuli, ama Hamnazo unategemea nini?
wewe inakuuma nini?Sasa nani kakuuliza??
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu...Binti Kinara 'form 4' afichua siri
Mosha ni mtoto wa mwisho katika familia ya Profesa Resto Mosha wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) mkoani Morogoro na mama Agatha Mosha Mhasibu wa NSSF mkoni humo.
Watoto wote wanaweza kuwa kama huyu binti ila inatakiwa sacrifice,dedication,love,understanding etc etc tangu anazaliwa na kukua.Mtoto wa namna hii niko tayari kujinyima kila kitu nimtimizie ndoto yake.....! hongereni wazazi pia
Maji hufata mkondo! Baba ni full Professor wa Pharmacology and Toxicology na mama Mhasibu tena mwenye CPA unategemea nini kwa watoto wao! Exception huwa zipo Mtoto kwa outliers.....hongera tena binti
I love this comment...umenianzishia Jumatatu vizuri! Mimi kigezo ni GPA kama demu hana zaidi ya 4 na kwenda juu wala siwezi mdate, asije nipakazia mimba tukazaa kilaza. Mzenj wangu anafirst class teh teh teh eteh
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu...
Karithi kutoka kwa baba yake!
Hongera dada...
mmmmnh!!!!!! ati GPA yaani do you ask to be shown the transcripts ama????
Yes Madam Shishi! Kabla ya Kupropose teh teh teh teh ...uko poa lakini?
shostito upoHahahahaha usiumize kichwa chako na Masa LOL!....Yeye anaangalia GPA lakini siyo personality hajui kama kupata 4.0 GPA ni very easy!.....Kuna watu wana capacity kubwa na kukrem just to earn that 4.0....