DOKEZO Walimu Shule ya Mpanda Day wanalazimisha wazazi tulipe hela ya ‘twisheni’ wakati wa likizo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.

Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.

Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.

Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.

Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
 
Ila hii sio haki inamaana wale wasiokuwa na pesa hizo topic ndo zishawapita. Kwakwel hili suala liangaliwe vizuri hawa walimu ni jukumu lao la msingi kuwafundisha hawa wanafunzi bila kujali malipo kwani mishahara wanalipwa na serikali sasa kwanini hawaridhiki.
Nakumbuka kna mwalimu mmoja wa physics kipnd nasoma alikuwa na tuituon yake mahali,. Hivyo kuna topic alikuwa haufundishi darasani anafundisha kwenye tuition yake ty, na kutushinikiza kama tunakata kusoma hizo topic bas tujiunge na tuition yake vinginevyo nd ushapitwa hivyo. Na katika mtihani anatoza hizohizo topic ananzofundisha huko, na kutuadhibu vikali tukifeli
 
Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.

Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.

Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.

Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.

Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
Kwani ni kiasi gani cha pesa mpaka unakuja kulia lia huku mitandaoni?

Kama ukiona elimu gharama basi jaribu ujinga.
 
Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.

Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.

Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.

Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.

Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
Si ajabu pesa yenyewe mmeambiwa elfu 15 kwa mwezi mzima ,halafu unakuja huku kujiliza.
 
Miundombinu ya shule nyingi za serikali haimsapoti mwalimu kumaliza topic alafu mwalimu huyo huyo anajitolea kutoenda likizo ili afundishe watoto wenu alafu mnalalamika najua hela yenyewe ni chini ya 10K

Dada yangu ni mwalimu wa phy na Chem mme wake huwa anamwambia fundisha kwa 30% ya uwezo wako usiandike ubaoni wala usijichoshe na asizidishe muda wa kukaa shule yani ikifika saa nane sister ageuze kurudi home na huwa anafanya hivyo

EWE MWALIMU JITUME SAANA KAMA UPO PRIVET SCHOOL ILA UKIENDA GOVERNMENT SCHOOL NENDA UKIWA UMESHASTAAFU NENDA UKALE PENSHEN TU STORY NYINGI KUFUNDISHA KIDOGO
 
Hivi nyie mtaacha ujinga lini?

Anafundishwa mwanao kwa maslahi ya familia yako unakuja kulialia humu. Watoto wa viongozi wanaosoma shule za St kunani pamoja na mamilioni ya ada wanayolipa lakini wakiambiwa wator mchango huwa wanaotoa chap. Huku kwenye shule zetu za St mbwiga unaambiwa elimu bure ila ukiambiwa mchango wa elfu kumi tu tayari ushaanza kelele.
Endeleeni kukaa na ujinga wenu hadi akili ziwakae sawa.
Ndio maana hakuna mtoto wa kiongozi anasoma huko St mbwiga.. huko St mbwiga tunatengeneza wapiga kura ( mbwiga wa kiwango cha lami) huku sisi watoto wetu tunawatengeneza waje kuwa viongozi wenu huko St mbwiga.
 
Kwani ni kiasi gani cha pesa mpaka unakuja kulia lia huku mitandaoni?

Kama ukiona elimu gharama basi jaribu ujinga.
Wewe ni mpumbavu sana tena sana, yaani watoto wakasome masomo ya f4 kwa mwezi mmoja wa likizo kwa lazima hiyo ndo elimu? Unajua maana ya elimu?
Kuelimisha kuna utaratibu wake kama wewe ulikariri tuisheni kwa masomo ya mwaka mzima ukafundishwa kwa mwezi mmoja ndo unadhani una elimu? Wewe ni mjinga kuzidi hao unaowaambia wajaribu ujinga

Acha watoto waende likizo ndo utaratibu wa elimu.
 
Hivi nyie mtaacha ujinga lini?

Anafundishwa mwanao kwa maslahi ya familia yako unakuja kulialia humu. Watoto wa viongozi wanaosoma shule za St kunani pamoja na mamilioni ya ada wanayolipa lakini wakiambiwa wator mchango huwa wanaotoa chap. Huku kwenye shule zetu za St mbwiga unaambiwa elimu bure ila ukiambiwa mchango wa elfu kumi tu tayari ushaanza kelele.
Endeleeni kukaa na ujinga wenu hadi akili ziwakae sawa.
Ndio maana hakuna mtoto wa kiongozi anasoma huko St mbwiga.. huko St mbwiga tunatengeneza wapiga kura ( mbwiga wa kiwango cha lami) huku sisi watoto wetu tunawatengeneza waje kuwa viongozi wenu huko St mbwiga.
Wewe ni mwalimu mpumbavu. Utaratibu muwafundishe mwaka mzima ujao, wewe unataka hela ili mwaka kesho ukaendeshe bodaboda badala ya kufundisha. Acha upumbavu wewe watoto wanatakiwa kuwa likizo.
 
Kulazimisha kufundisha masomo yanayopaswa kufundishwa darasani wakati wa kwaida kwenye wakati wa likizo tena kwa malipo ni makosa.
 
Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.

Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.

Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.

Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.

Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
Msilipe, msilipe, kupanga ni kuchagua!
Msilipe wanenu wakifeli watu wa Dar watapata "ma-house girl"!
Kila mtu akifaulu nani atakuwa kijakazi wa mwenzie.
Lazma katika nchi kuwe na mikoa ambayo itatoa manamba, ma-yaya[]wajakazi, vibarua na wasomi.
 
Utawalaumu bure walimu, hayo ni "maazimio" ya bwana Charles Msonde pale TAMiSEMI, na sio Mpanda tuu ni nchi zima
 
Sijawahi ona mtu mjinga kama wewe...

Wengi tumesoma kwa hii style na ndiyo imetutoa...

Ngoja nikuanzishie uzi wa kukupinga...
Usimpinge , wewe unataka kila mtu asome?

Utapata wapi shamba boy na ma-beki 3?

Wakati matajiri viongozi wa Serikali wa wizara na ikulu watoto wao wapo Kifungilo Girls, , St Fransi -Mbeya , Livingstone Seminary Tanga, St Meriogoreth na St Dominic savio ambazo hakuna likizo na ada ya mwaka inalipwa na ya twisheni na wanapewa likizo tarehe 21-12-2023 kwa wiki moja mpaka january 2-1-2024 ,watoto wa maskini wanapinga shilingi elfu 10 kwa mwezi mtoto asome.
Sasa basi nawashauri maskini tuandamane, tusilazimishwe kusoma, watoto wakae holiday, Matajiri hawapendi watoto wao ndio maana wanawaacha wakae na mapadri na masista.
 
Back
Top Bottom