Nataka kutumia simu shuleni

Dr Dre

JF-Expert Member
May 23, 2015
2,573
2,623
Wana JF,

Mimi nimemaliza kidato cha nne Shule ya day nmefaulu vizuri nangojea post 2, ila ninao Ugonjwa wa kutokusoma bila kutumia simu yangu, nikishindwa kitu kidogo tu ninagoogle kiukweli simu imenisaidia sana, mara nyingi nilikuwa nasoma YouTube, hayo yote nilikuwa nafanya sababu nilikuwa day, sasa naenda boarding na nimepanga kwenda na simu, naombeni ushauri wenu kiukweli cjui ntaanzaje maisha ya kusoma bila simu.

Welcome my experts
 
Usimchezee "simba" sharubu! Tii sheria bila shuruti, SIMU HAZIRUHUSIWI huko. Weekend ikifika nenda nje ya shule kakusanye material yako internet, kisha rudi shule na hardcopy.
 
Piga kitabu dogo achana na cm ukimaliza utatmia cm mpaka uchoke t... vigezo na maxhart ya xhule vizingatiwe ELIMU KWANZA
 
Nenda nayo coz malengo ya kuitumia simu ni mazuri,,,nimesoma boarding na simu nimeenda nayo km kawa
 
Wana JF,

Mimi nimemaliza kidato cha nne Shule ya day nmefaulu vizuri nangojea post 2, ila ninao Ugonjwa wa kutokusoma bila kutumia simu yangu, nikishindwa kitu kidogo tu ninagoogle kiukweli simu imenisaidia sana, mara nyingi nilikuwa nasoma YouTube, hayo yote nilikuwa nafanya sababu nilikuwa day, sasa naenda boarding na nimepanga kwenda na simu, naombeni ushauri wenu kiukweli cjui ntaanzaje maisha ya kusoma bila simu.

Welcome my experts

Njoo nayo tukukamue viboko vzrrri, coz ndo kazi yetu hii kwa watu kama Nyie.
 
Wana JF,

Mimi nimemaliza kidato cha nne Shule ya day nmefaulu vizuri nangojea post 2, ila ninao Ugonjwa wa kutokusoma bila kutumia simu yangu, nikishindwa kitu kidogo tu ninagoogle kiukweli simu imenisaidia sana, mara nyingi nilikuwa nasoma YouTube, hayo yote nilikuwa nafanya sababu nilikuwa day, sasa naenda boarding na nimepanga kwenda na simu, naombeni ushauri wenu kiukweli cjui ntaanzaje maisha ya kusoma bila simu.

Welcome my experts

kama mtu anajielewa simu haina negative impacts katika kusoma/ masomo
ila kama ni mdau wa social networks hapo ndo utajua kuwa A level so O level.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom