Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
wakuu poleni na majukumu mazito ya kujenga nchi kupitia P.A.Y.E! Mimi ninatafuta DCM isiwe imechoka sana, mwenye nayo anaweza kuni-pm. all the best!
nimechek online hakuna DCM au zina jina lingine
nimechek online hakuna DCM au zina jina lingine
KUNA MBADALA WAKE WANAITA EICHER hebu tafuta uone....!
Hizi mkuu nenda TDM-MBY border la wajanja pale utapata za kutoka Zambia siku hizi wabongo wanayatoa mengi sana kule Zambia na kuyakokota mpaka Dar yakifika huku likipigwa engine ya canter na kukarabatiwa mbona watu wanarisahau we katege mingo pale.
mkuu hivi gharama ya engine ya canter inaweza kuwa tsh ngapi?mimi nna uhakika wa kupata bodi
wakuu poleni na majukumu mazito ya kujenga nchi kupitia P.A.Y.E! Mimi ninatafuta DCM isiwe imechoka sana, mwenye nayo anaweza kuni-pm. all the best!
mkuu ni pm namba yako ya simuMimi ninayo lakini Imesimama ipo Ukonga FFU ndani tatizo gea box bei milioni saba
We mkali, nilipoiona posti hii nilitaka kutoa maelezo yanafanana na yako,Hizi mkuu nenda TDM-MBY border la wajanja pale utapata za kutoka Zambia siku hizi wabongo wanayatoa mengi sana kule Zambia na kuyakokota mpaka Dar yakifika huku likipigwa engine ya canter na kukarabatiwa mbona watu wanarisahau we katege mingo pale.