Mwafrika mmoja
Member
- Mar 15, 2019
- 36
- 97
Habari za kazi wakuu, poleni na hongereni kwa majukumu !
Ninatafuta kijana wa kiume anayeweza kuchoma kuku mida ya jioni, malipo ni Tsh 5000 kwa siku kwa kuanzia it means inaweza kuongezeka mbeleni. Akiwa mkazi wa wilaya ya Kinondoni itapendeza.
Kazi ni jioni tu kuanzia saa 11 hadi saa 3 (Mchana anaweza kufanya mishe zake )
Aliye tayari anicheki WhatsApp 0683535699
Ninatafuta kijana wa kiume anayeweza kuchoma kuku mida ya jioni, malipo ni Tsh 5000 kwa siku kwa kuanzia it means inaweza kuongezeka mbeleni. Akiwa mkazi wa wilaya ya Kinondoni itapendeza.
Kazi ni jioni tu kuanzia saa 11 hadi saa 3 (Mchana anaweza kufanya mishe zake )
Aliye tayari anicheki WhatsApp 0683535699