Mr kempanju
Member
- May 24, 2018
- 43
- 146
Habari za asubuhi wakuu,
Penye wengi pana mengi na penye mengi kuna njia nyingi.
Naomba niokoeni ndugu yenu.
Nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10.
Fuso ilikuwa nimepeleka kubeba mkaa mara kama 7 hivi jana nimeamua kutoipeleka tena huko sababu ya changamoto zake hazivumiliki, nimepasua tyri tatu kwa trip moja na kila trip lazma nizibe tyre
Mikaa ni mizoto maliasili walipa jana gunia moja lina kilo 137 na fuso ilikuwa inabeba guni 90+ so ilikuwa inabeba zaidi ya tani 12.
Gari inakaa mda mrefu porini na kufikia kupata hasara tu
Nimekuja kwenu ndugu zangu mnisaidie kunipa dili za usafirisha wa mizigo kupitia gari hii ili niishi
Natamani kupata kazi za kupeleka bidhaa mikoani, kutoa mizigo viwandani au kwenye store na kusambaza, kama kuna kampuni inahitaji Fuso kwa kazi zao nawakaribisha kwa mkataba,
Kwa mawasiliano ni Dm tafadhali.
Penye wengi pana mengi na penye mengi kuna njia nyingi.
Naomba niokoeni ndugu yenu.
Nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10.
Fuso ilikuwa nimepeleka kubeba mkaa mara kama 7 hivi jana nimeamua kutoipeleka tena huko sababu ya changamoto zake hazivumiliki, nimepasua tyri tatu kwa trip moja na kila trip lazma nizibe tyre
Mikaa ni mizoto maliasili walipa jana gunia moja lina kilo 137 na fuso ilikuwa inabeba guni 90+ so ilikuwa inabeba zaidi ya tani 12.
Gari inakaa mda mrefu porini na kufikia kupata hasara tu
Nimekuja kwenu ndugu zangu mnisaidie kunipa dili za usafirisha wa mizigo kupitia gari hii ili niishi
Natamani kupata kazi za kupeleka bidhaa mikoani, kutoa mizigo viwandani au kwenye store na kusambaza, kama kuna kampuni inahitaji Fuso kwa kazi zao nawakaribisha kwa mkataba,
Kwa mawasiliano ni Dm tafadhali.