Mziwanda Mwafrika Chilas
Member
- Jul 7, 2013
- 12
- 15
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi nipo Dar es salaam, nina gari canter, box body freezer, yenye uwezo wa kubeba mizigo ya baridi na ya kawaida.
Natafuta kazi halali popote hapa Tanzania bara iwe ya tender au trip za kawaida za kupakia mizigo. Yoyote anaefahamu chimbo ambalo lina mzunguko wa kazi naomba tufahimishane.
Gari ni nzima ya uhakika. Nitashukuru sana tukiweza kupeana michongo ya kazi.
Natafuta kazi halali popote hapa Tanzania bara iwe ya tender au trip za kawaida za kupakia mizigo. Yoyote anaefahamu chimbo ambalo lina mzunguko wa kazi naomba tufahimishane.
Gari ni nzima ya uhakika. Nitashukuru sana tukiweza kupeana michongo ya kazi.