kaka naona hii thread umeifungua haraka haraka ....Mh,, good luck..!
Niliwahi kuweka tangazo la kutafuta mke wa tatu, una qualify.
okay, naona option ya kuzaa bila kuishi na wewe ni bomba zaidi...
faiza foxy unatafuta mke?
Jamani nawashukuru sana wana JF kwa comments zenu nzuri tu.
Nimepokea PM kama 5 hivi na namba za simu. Unfortunately JF imenirestrict ku-reply ama kutuma PM mpaka niwe nimepost at least posts 5. Na kwa kuwa mimi ndio nimejiunga leo bado sina posts za kutosha, maybe with time.
Kwa walionitumia namba zao, I will do my best to call them. Bahati mbaya siwezi kuweka ya kwangu hapa hadharani.
Asanteni sana na ofcourse, feedback lazima mtapata.
Usiku mwema nyote.
N