Cool Gentleman
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 330
- 235
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.
Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.
Asanteni sana
Nawai Joseph
Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously