Dada nakutakia kila la kheri .
Asante mtotowamjini, lakini wazo lako halinivutii kabisakama unataka kuzaa nipe PO BOX yako mi nitakutumia kwenye post then utashughulika nayo mwenyewe...dunia ya siku hizi kupata watoto sio lazima mlale pamoja:happy:
Nashukuru ndugu yangu Losambo kwa ushauri wako.Sasa maswali yote hayo ya nini? We jitose tu kaka yangu!
Nawai dada yng kua makini kupokea PM co ishu,kua makini mno mm nili2ma post w2 waka ni PM mpk wngn nikakutana fc2fc na cjaona faida zaidi ya ulaghai,tk cr ma d.
Mkuu ni miongoni mwa ambao PM zao hazijajibiwa nini?
I can assure you I am one good looking lady, na mtoto niliyenaye ni moto wa kuotea mbalihahahahahaaa. Ila kweli mkuu
kwahiyo umeshamaliza kushortlist, mimi niache kukuPM? Maana uzi huu ndio nauona saa hii. Nilikuwa natafuta nafasi kama hii muda mrefu. Mimi shida yangu ni mtoto tu. Hayo mambo mengine tutajuana mbele kwa mbele
Dada nakutakia kila la kheri .