Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,530
Nahitaji Mke aliye serious kuolewa.
Mimi nina miaka 36
Mkiristo.
Nahitaji mwanamke mwenye akili ya maisha sana, asiwe na Kiburi, mke muunganisha familia yani ajue kwamba mimi sipo peke yangu nyumbani kwetu, kuna ndugu zangu wengine ambao itabidi angalau mawasiliano mazuri yawepo, nimebaki na mama tu anatakiwa kujua kuwa nina Mama mzazi so, mawasiliano na kumjulia hali, sio mpaka nimwambie, angalau mke mshauri mzuri...
Awe na kazi, mzuri wa tabia, sura na umbo, mrefu wa wastani laki asiwe mnene sana.
Kabila lolote.
Aliye tayari karibu PM
Mimi nina miaka 36
Mkiristo.
Nahitaji mwanamke mwenye akili ya maisha sana, asiwe na Kiburi, mke muunganisha familia yani ajue kwamba mimi sipo peke yangu nyumbani kwetu, kuna ndugu zangu wengine ambao itabidi angalau mawasiliano mazuri yawepo, nimebaki na mama tu anatakiwa kujua kuwa nina Mama mzazi so, mawasiliano na kumjulia hali, sio mpaka nimwambie, angalau mke mshauri mzuri...
Awe na kazi, mzuri wa tabia, sura na umbo, mrefu wa wastani laki asiwe mnene sana.
Kabila lolote.
Aliye tayari karibu PM