Mazee vipi majibu,ni +?
Haya kwa wale wanaopenda kulelewa hapo fasta jamani mtoto kasema hata wasio na kazi kwake ni poa tu ana uwezo wa kumlea. Madenti vipi sis nao ruksa katika category zako? Manake watamiminika wengi na application hapa.
NB: Mchujo utapita kwa wakware
Hey wanajamii.
Mimi ni msichana mwenye Umri wa miaka 28.
Mhasibu katika shirika moja lisilo la kiserikali hapa Tanzania.
mshahara sio mkubwa sana lakini unakidhi mahitaji yangu.
ninaishi sinza Madukani.
Ninaona umri unazidi kuyoyoma lakini bado sijampata wangu wa maisha.
who ever is ready for a serious relationshi please PM me.
Repply to only seroius Guyz!
Wasfu:
1. awe Mkristu
2.asiwe mnywa pombe.
3. If employed or not I dont care!
Huyu mbona hajibu comments ktk sread yake au popote pale? Au alikuja JF purposely kwa ajili ya kutafuta mchumba?
2.asiwe mnywa pombe.
!
Lakini mkuu wewe si uko booked tayari au unataka kufanya mambo ya multiple bookings? Mhhh, labda ni somo ulilopata Zenji!
Hey wanajamii.
Mimi ni msichana mwenye Umri wa miaka 28.
Mhasibu katika shirika moja lisilo la kiserikali hapa Tanzania.
mshahara sio mkubwa sana lakini unakidhi mahitaji yangu.
ninaishi sinza Madukani.
Ninaona umri unazidi kuyoyoma lakini bado sijampata wangu wa maisha.
who ever is ready for a serious relationshi please PM me.
Repply to only seroius Guyz!
Wasfu:
1. awe Mkristu
2.asiwe mnywa pombe.
3. If employed or not I dont care!
NiPM picha yako hasa ukiwa umeonyesha maeneo ya Mgongo!
dada Dorin muombe sana mungu akuongeza ktk hili jambo jema unalolitaka kwani yeye ndiye atakusaidia ukutane na aliyekutoa ubavuni mwake ili uifurahie hiyo ndoa unayoitafuta kwani bali yeye unaweza angukia pabaya mama ukajajuta,ndoa si lelemama.nakuombea mungu akupatie haja ya moyo wako.kila la heri.
dahhhh kiongozi niko ukurasa huo huo pamoja nawe.Thamani ya kondoo mkia
acheni vioja jamani maana hadi dada wa watu kaogopa kuendeleza thread yake.
acheni vioja jamani maana hadi dada wa watu kaogopa kuendeleza thread yake.