Natafuta mchumba

Jamani bado mnamshambulia tu huyu pen pal? Anafanyia kazi application zake jamani si mnamuona alivokimya? Inawezekana alikuwa serious huyu mtu lol
 
Je, uko tayari kueleza ukweli juu ya mada hii "Your sexual history", (if any); bila shaka utampata anayekufaa. Tafadhali, hii itaonesha jinsi utakavyokuwa mkweli, muwazi na mwaminifu kwenye ndoa hiyo:


  1. names and number of your past partners; things you loved from them, reasons for separations, time of staying with each, stages of partnerships, your current minds about them ....
  2. unsafe sex practices; such as oral sex, tiGO sex, business sex (prostitution), self sex (masturbation) ....
  3. what you did and not did with others; whether you ever killed, steal, going to night clubs, .....
  4. your viginity; how much are you vigin, ....
  5. abortion practices; number of abortions, reasons for each, how, outcomes, their fathers, .....
  6. childhood abuse; how much, by/to whom, how does it come, effects, ....
Taarifa hizi zitawasaidia wadau kufanya maamuzi

I bet atakuwa hakumbuki hata moja katika haya
 
Dorin
Kama mchumba mwenyewe ni style ya avatar yako, vifaa vya Jerry Muro muhimu -pingu, bastola na miwani. Bahati mbaya sina hata kimoja, ila hao 104 nadhani baadhi wanavyo
amigo!!
 
very good wewe uko serious kiukweli haya wanaume mlosingle habu mjitose hapo no bla bla
sijui itakuwa True love hiyo au?
 
Hey wanajamii.
Mimi ni msichana mwenye Umri wa miaka 28.
Mhasibu katika shirika moja lisilo la kiserikali hapa Tanzania.
mshahara sio mkubwa sana lakini unakidhi mahitaji yangu.
ninaishi sinza Madukani.
Ninaona umri unazidi kuyoyoma lakini bado sijampata wangu wa maisha.
who ever is ready for a serious relationshi please PM me.
Repply to only seroius Guyz!

Wasfu:
1. awe Mkristu
2.asiwe mnywa pombe.
3. If employed or not I dont care!


Ni PM mm wewe.
 
ww ni dini dhehebu gani?
Kabila gani?
Na unataka mume wa umri gani?
Na mwenye elimu kiwango gani hata kama hana kazi?
 
jiweke hadharani kama huyu dada aliyetuma application letter akiambatanisha picha yake
 

Attachments

  • Job Vacancy[1].doc
    205 KB · Views: 88
Hey wanajamii.
Mimi ni msichana mwenye Umri wa miaka 28.
Mhasibu katika shirika moja lisilo la kiserikali hapa Tanzania.
mshahara sio mkubwa sana lakini unakidhi mahitaji yangu.
ninaishi sinza Madukani.
Ninaona umri unazidi kuyoyoma lakini bado sijampata wangu wa maisha.
who ever is ready for a serious relationshi please PM me.
Repply to only seroius Guyz!

Wasfu:
1. awe Mkristu
2.asiwe mnywa pombe.
3. If employed or not I dont care!

Hongera sana, unaonyesha umejikomboa kifikra. Maana kila mtu anataka si mwanaume si mwanamke. Kuonyesha nia ni wajibu wa wote, ama sivyo kukaa kimya utakuta mwana si wako.

May God lead you towards achieving your wish at the bottom of your heart. Wababaishaji wapo na watu makini wapo. Usitishike na hoja za mizaha, wa kwako yupo tu. Usisahau kusali na ikibidi maombi ya kuhamisha milima, maana suala unalolitaka si mchezo.

Leka
 
Thanks alot! I think The applications are enough now! please let me read the 104 private massages first. Wakuu aplications zimetosha! Asanteni sana. For those who have Sent me PMs Expect your repplies in two weeks time. Asanteni sana jamani.
umetoa deadline mapema mno dada yangu kwa ushauri, unaweza kuta ambao umepiga stop ndo angekuwapo ambaye ni serious zaidi na pia mwenye vigezo uvitakavyo. All the best lakini.
 
ha ha haa Hii thread,

Dada Dorin nakuombea kwa Mola umpate wa kweli na akufaaye maishani

Guys,sometimes try to take some other people's business seriously.
 
ha ha haa Hii thread,

Dada Dorin nakuombea kwa Mola umpate wa kweli na akufaaye maishani

Guys,sometimes try to take some other people's business seriously.
..hii sredi ndo yenyewe sasa!...lol
 
marriage is the only war where you sleep with your enemy

Jamani acheni kucheza na akili zetu!! hiyo signature yako inaonyesha kabisa you are playing with our minds! if anybody did believe you! should think twice! Hivi hamjaona hii signature? Huyu anafaa kuolewa kweli. For that avatar am speechless!
 
Dada kama ni wewe chini ya hilo liamvuli jekundu (kwenye avatar yako)..basi inaonekana unalipa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom