Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
5. Asiwe mzee sana ( age 18-30).
maskini smati.... hapo umewakosa akina Michelle!!
Atajuta kuweka huo umri,hapa JF wasichana tumeamua kwamba hadi wazee watoke ndo hawa wadogo nao watoke......kama anataka aanze na wakubwa,la sivyo aende tu Facebook.............LOL