Mh,hapo kwenye deadline! Mi hoiiiiii...
labda j2 awhi ibada pale kwa mama lwakatare
je kama ana sifa zote ila aliwahi kuonjesha???? Kwa nini hutaki aliyeonjeshwa,si ndo vizuri akufundishe au?yani vipofu wawili mkae?.......lol
Je kama ana sifa zote ila aliwahi kuonjesha???? kwa nini hutaki aliyeonjeshwa,si ndo vizuri akufundishe au?yani vipofu wawili mkae?.......LOL
Je kama ana sifa zote ila aliwahi kuonjesha???? kwa nini hutaki aliyeonjeshwa,si ndo vizuri akufundishe au?yani vipofu wawili mkae?.......LOL
duh,,,,watauliza humuhumu JF wafundishwe mapigo
amesema isiwe kwa makusudi.........sijui uwe ulibakwa?
kwa vigezo vyake unadhani atapata!! Labda afanye booking kwa mama mwenye mtoto mchanga wa kike tena awe chini ya uangalizi wake mpaka afikie umri huo...lol
Umeshamaliza kule kwenye majina ya wasichana?karibu sana huku.Anataka waliobakwa au ambao hawajawahi kut......... kabisa!
Duh...
5. Asiwe mzee sana ( age 18-30).
anataka waliot...... kwa bahati mbaya
Sawa Inkoskaz mwalimu wa mambo mengi,nashukuru kwa kumsaidia kujibu................LOL
Utanifundisha na mimi???
Hivi baada ya miaka 30 mwanamke anakuwa mzee??? hii inaumiza,kumbe siku za ujana wangu zinaishia.LOL
Naamini mawazo yako ni potofu sana. Yaani unafikiri Walokole wote ndo bikra??? Kwa taarifa yako walokole walio wengi wanaokoka kwa sababu ya kujirudi baada ya kufanya madhambi...... KWA MAONI YANGU SIDHANI KAMA UTAPATA WENGI WANAKUWA WASHADINYWA.....KAMA KWELI UNA NIA NJEMA YA KUTAFUTA MCHUMBA, TOA KIPENGELE CHA ULOKOLE.......