Wapendwa wana JF,
Naomba msaada wenu.
Nimekuwa nikisumbuliwa na ndoto za mapenzi pindi ninapokuwa usingizini. Nina mwaka sasa tangu niachane na mpenzi wangu sijashiriki mapenzi lakini hivi karibuni nimekuwa nikiota sana hizo ndoto.
Kuna siku nilikuwa nimelala mchana majira ya saa saba chumbani kwangu katika ndoto nikaota nipo nashiriki mapenzi kama kawaida but sikuweza kumtambua, nilipostuka nilifadhaika sana na kukosa amani, nilikaa kitandani na kutafakari sana.
Mbaya zaidi jana usku niliongea na shemeji yangu kwenye simu, ilipofika alfajir kama majira ya saa 10 nilistuka baadae nilirudi kulala, kulipofika majira kama ya asubuhi, niliota ninasafiri na shemeji yangu tupo kwenye meli na watu, lakini baadae tulizama ndani ya maji mengi hivyo tukaanza kutafutana ndani ya kina cha maji marefu, baadaye alitokea mtu mwingine akanizamisha ndani ya maji hayo na nikahsi kama ninashiriki mapenzi.Nimekuja kustuka majira ya saa moja asubuhi.
Nakumbuka kipind cha nyuma wakati npo kidato cha sita na chuo hiiyo hali ilishawahi kunitokea lakini nilikuwa napigana nayo kwenye ndoto inatoweka lakini kwa sasa imekuwa tofauti kabisa. Kwa sasa nina mtu mwingine ambaye aliniomba uchumba sijawahi kukutana naye kimwili na sina hisia naye na tumekaribia kumaliza mwaka toka nifahamiane naye.
Inafika hatua tunaingia kwenye migogoro kwa sababu hiyo. Naomba mnisaidie jamani hii ni sababu ya kutoshiriki mapenzi muda mrefu au ndo mambo mengine yameanza. Nakumbuka kuna mtu alishawahi kutoa ushuhuda humu aliolewa na pepo nahsi hofu moyoni mwangu. Nimejitahidi kuwa nasali usiku wakati mwingine hiyo hali hutoweka baadae hurudia tena yaweza pita kama mwezi baada ya muda naanza kuota tena.
Naomba msaada wenu.
Nimekuwa nikisumbuliwa na ndoto za mapenzi pindi ninapokuwa usingizini. Nina mwaka sasa tangu niachane na mpenzi wangu sijashiriki mapenzi lakini hivi karibuni nimekuwa nikiota sana hizo ndoto.
Kuna siku nilikuwa nimelala mchana majira ya saa saba chumbani kwangu katika ndoto nikaota nipo nashiriki mapenzi kama kawaida but sikuweza kumtambua, nilipostuka nilifadhaika sana na kukosa amani, nilikaa kitandani na kutafakari sana.
Mbaya zaidi jana usku niliongea na shemeji yangu kwenye simu, ilipofika alfajir kama majira ya saa 10 nilistuka baadae nilirudi kulala, kulipofika majira kama ya asubuhi, niliota ninasafiri na shemeji yangu tupo kwenye meli na watu, lakini baadae tulizama ndani ya maji mengi hivyo tukaanza kutafutana ndani ya kina cha maji marefu, baadaye alitokea mtu mwingine akanizamisha ndani ya maji hayo na nikahsi kama ninashiriki mapenzi.Nimekuja kustuka majira ya saa moja asubuhi.
Nakumbuka kipind cha nyuma wakati npo kidato cha sita na chuo hiiyo hali ilishawahi kunitokea lakini nilikuwa napigana nayo kwenye ndoto inatoweka lakini kwa sasa imekuwa tofauti kabisa. Kwa sasa nina mtu mwingine ambaye aliniomba uchumba sijawahi kukutana naye kimwili na sina hisia naye na tumekaribia kumaliza mwaka toka nifahamiane naye.
Inafika hatua tunaingia kwenye migogoro kwa sababu hiyo. Naomba mnisaidie jamani hii ni sababu ya kutoshiriki mapenzi muda mrefu au ndo mambo mengine yameanza. Nakumbuka kuna mtu alishawahi kutoa ushuhuda humu aliolewa na pepo nahsi hofu moyoni mwangu. Nimejitahidi kuwa nasali usiku wakati mwingine hiyo hali hutoweka baadae hurudia tena yaweza pita kama mwezi baada ya muda naanza kuota tena.