Nasumbuliwa na ndoto za mapenzi

I
Unapo fanya hayo mapenz vitu vinawekwa humo ndani yako

Hivyo lazima yang'olewe

Na kitu cha muhimu usisahau kuomba toba Mungu kabla hujaomba ili uwe ma uhalali wa kupiganiwa vita

Kila pando asilopanda Baba yangu litang'olewa

Kwahiyo hayo mapando lazima yang'olewe

Sema nang'oa mwambie Yesu nang'oa chochote kilichopandwa na adui nang'oa ndan ya mwil wangu

Na mwambie Yesu akusaidie kung'oa hayo mapando

Omba had upone.


Cha kwanza kabisa weka wakfu hilo eneo unalo lala
Hayo makazi yalindwe na damu ya Yesu

Uhiii heaven Sent njoo uniandikie vifungu huku Biblia yangu ipo mbalii
Ingependeza km ningepata na vifungu vya biblia ili nirejee
 
Ni kawaida unapokuwa huna mpenz mda mrefu punyeto n dawa ya hiyo kitu au uoe
 
Hakuna dawa kijana.
Ninyi vijana mnakaa mkiwaza makatiko kutwa kuchwa, ona sasa hata unafikia kupata ndoto nyevu kisa hainaga ushemeji...
Tatizo lenu vijana ni uvivu umewajaa na hamtaki kujituma kwa shughuli za hapa na pale, kisha mkilishwa na mkashiba basi... hapo kati huwajaa kama ndizi za bukoba
huwo ni ukame tu unamusumbua huyo
 
Wapendwa wana JF,

Naomba msaada wenu.

Nimekuwa nikisumbuliwa na ndoto za mapenzi pindi ninapokuwa usingizini. Nina mwaka sasa tangu niachane na mpenzi wangu sijashiriki mapenzi lakini hivi karibuni nimekuwa nikiota sana hizo ndoto.

Kuna siku nilikuwa nimelala mchana majira ya saa saba chumbani kwangu katika ndoto nikaota nipo nashiriki mapenzi kama kawaida but sikuweza kumtambua, nilipostuka nilifadhaika sana na kukosa amani, nilikaa kitandani na kutafakari sana.

Mbaya zaidi jana usku niliongea na shemeji yangu kwenye simu, ilipofika alfajir kama majira ya saa 10 nilistuka baadae nilirudi kulala, kulipofika majira kama ya asubuhi, niliota ninasafiri na shemeji yangu tupo kwenye meli na watu, lakini baadae tulizama ndani ya maji mengi hivyo tukaanza kutafutana ndani ya kina cha maji marefu, baadaye alitokea mtu mwingine akanizamisha ndani ya maji hayo na nikahsi kama ninashiriki mapenzi.Nimekuja kustuka majira ya saa moja asubuhi.

Nakumbuka kipind cha nyuma wakati npo kidato cha sita na chuo hiiyo hali ilishawahi kunitokea lakini nilikuwa napigana nayo kwenye ndoto inatoweka lakini kwa sasa imekuwa tofauti kabisa. Kwa sasa nina mtu mwingine ambaye aliniomba uchumba sijawahi kukutana naye kimwili na sina hisia naye na tumekaribia kumaliza mwaka toka nifahamiane naye.

Inafika hatua tunaingia kwenye migogoro kwa sababu hiyo. Naomba mnisaidie jamani hii ni sababu ya kutoshiriki mapenzi muda mrefu au ndo mambo mengine yameanza. Nakumbuka kuna mtu alishawahi kutoa ushuhuda humu aliolewa na pepo nahsi hofu moyoni mwangu. Nimejitahidi kuwa nasali usiku wakati mwingine hiyo hali hutoweka baadae hurudia tena yaweza pita kama mwezi baada ya muda naanza kuota tena.
uliishawahi kusikia jini mahaba..!! ndio hilo..!!
dawa yake ni kimwomba Mungu tu hakuna kingine.
 
.....ni hivi

ardhi inaweza kukufanya uote hizo ndoto, yaani mazingira ya hapo unapo lala,

nitafupisha kidogo.

tutaenda omba toba juu ya ardhi au eneo unalo kaa,
Mungu ninaoma toba kwa yote niliyo kutenda kwa kujua au kutokujua na kwa kutotimiza yanipasayo, unisafishe kwa damu ya Yesu, naleta familia yangu pia utusamehe ututakase kwa damu ya Yesu.

[HASHTAG]#tutaiweka[/HASHTAG] wakfu ardhi kwaajili ya Bwana
kuna mawili unaweza mwaga damu ya Yesu katika hilo eneo umwambie MUngu alitakase hilo eneo na aliweke wakfu kwaajili yake

au tutaomba toba juu ya ardhi kutoka katika cha 2nyakati 7:14

ikiwa watu wangu, walio itwa kwa jina langu, watajinyenyekesha na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya,basi nitasikia toka ,mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao


## utaomba toba juu ya hiyo ardhi sasa ili Mungu aponye hiyo ardhi iliyo chini yako na pia mwambie Mungu hii ardhi ikaolewe na wewe, aimiliki yeye
 
kumbuka ndoto ni mlango, mlango anapita mwizi, jambazi, mtu mwema au mbaya. tuanafanyaje kuangalia ili vitu vibaya visipite hapo

tuna damu ya Yesu, damu ya pasaka, hii ni damu ya malangoni ili kutuwekea ulinzi(ina kazi nyingi lakin na hii ni kazi yake)

zamani wakati wa Musa MUngu aliwaambia wana wa Israel wapake damu ya mwanakondoo katika miimo na vizingiti vya malango

kwa damu ile ya wanyama Mungu aliwaambia yule mjaribu hatopita kuingia aingie malangoni mwenu kuwaharibu ninyi

na kwel wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israel hawakufa, sasa kama damu za mwana kondoo zilizuia

sisi sasa hiv tunatumia damu ya agano jipya yaan ya Yesu

huyo mwanakondoo unamkuta tena amabaye ni Yesu ktk 1corintho 5:7 tunapata damu ya pasaka yaan Kristo Yesu
hiyo tu haitoshi yeye alifanyika sadak kwaajili yetu

kuhusu ile ya wanyama unapata kutoka 12:21-25

ngoja Heaven Sent atakuja kuandika hivyo vifungu
 
Ndoto zinaweza kukupata kutokana na mazingira uliyo nayo/ unayo lala

Hiyo sehemu unayolala inaweza ikawa mi nyumba ya mapepo/ majini hivyo yana kuingilia.

Kingine ukute zamani ulikua unapiga punyeto( punyeto maana yake unafanya mapenzi ma majini mahaba hivyo unayapa uhalali wa kukutesa

Kingine inaweza kuwa umefungishwa ndoa za majin mahaba / wanawake wa kipepo ktk ulimwengu wa roho bila ww kujua

Hivyo yana uhalali kabisa ya kukuigilia ktk mwil wako sababu ww ni mke wao halalii.

Kingine hao wanaume walio pita kwako wana maroho machafu ndio maana yanakutesa( spirits).

Sababu kama wew ni bint ukifanya kile kitendo unapokea na mwanaume anatoa

Na Biblia yangu inaniambia ajiunganishae na kahaba wamekua mwil mmoja

Hivyo zile roho zotee alizo kuwa nazo huyo mwenza naww unakua nazo

Mpka hapo umenielewa?

Huna haja ya kupanda ndege uende kwa nabii gani sijui

Mm ninachojua Mungu wangu/ Yesu wangu ni wa wote juhud yako tu ya kuomba itakutoa kwenye shida yako

Mungu hayupo kuwa special kwa grp fulan tu la watu.

Hapana . Mungu hana upendeleo na wala hapokei rushwa.

Umenielewa had hapo?
Kingine ukute zamani ulikua unapiga punyeto( punyeto maana yake unafanya mapenzi ma majini mahaba hivyo unayapa uhalali wa kukutesa.

Unaweza kunisaidia dada yangu hapa ulipozungumzia kuhusu kujichua na mahusiano ya mapepo..Naomba maelezo zaidi how? Nahitaji nijifunze
 
Kingine ukute zamani ulikua unapiga punyeto( punyeto maana yake unafanya mapenzi ma majini mahaba hivyo unayapa uhalali wa kukutesa.

Unaweza kunisaidia dada yangu hapa ulipozungumzia kuhusu kujichua na mahusiano ya mapepo..Naomba maelezo zaidi how? Nahitaji nijifunze
Ngoja nimjibu huyu halafu nitarud kwako plzz
 
kumbuka ndoto ni mlango, mlango anapita mwizi, jambazi, mtu mwema au mbaya. tuanafanyaje kuangalia ili vitu vibaya visipite hapo

tuna damu ya Yesu, damu ya pasaka, hii ni damu ya malangoni ili kutuwekea ulinzi(ina kazi nyingi lakin na hii ni kazi yake)

zamani wakati wa Musa MUngu aliwaambia wana wa Israel wapake damu ya mwanakondoo katika miimo na vizingiti vya malango

kwa damu ile ya wanyama Mungu aliwaambia yule mjaribu hatopita kuingia aingie malangoni mwenu kuwaharibu ninyi

na kwel wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israel hawakufa, sasa kama damu za mwana kondoo zilizuia

sisi sasa hiv tunatumia damu ya agano jipya yaan ya Yesu

huyo mwanakondoo unamkuta tena amabaye ni Yesu ktk 1corintho 5:7 tunapata damu ya pasaka yaan Kristo Yesu
hiyo tu haitoshi yeye alifanyika sadak kwaajili yetu

kuhusu ile ya wanyama unapata kutoka 12:21-25

ngoja Heaven Sent atakuja kuandika hivyo vifungu
kumbuka ndoto ni mlango, mlango anapita mwizi, jambazi, mtu mwema au mbaya. tuanafanyaje kuangalia ili vitu vibaya visipite hapo

tuna damu ya Yesu, damu ya pasaka, hii ni damu ya malangoni ili kutuwekea ulinzi(ina kazi nyingi lakin na hii ni kazi yake)

zamani wakati wa Musa MUngu aliwaambia wana wa Israel wapake damu ya mwanakondoo katika miimo na vizingiti vya malango

kwa damu ile ya wanyama Mungu aliwaambia yule mjaribu hatopita kuingia aingie malangoni mwenu kuwaharibu ninyi

na kwel wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israel hawakufa, sasa kama damu za mwana kondoo zilizuia

sisi sasa hiv tunatumia damu ya agano jipya yaan ya Yesu

huyo mwanakondoo unamkuta tena amabaye ni Yesu ktk 1corintho 5:7 tunapata damu ya pasaka yaan Kristo Yesu
hiyo tu haitoshi yeye alifanyika sadak kwaajili yetu

kuhusu ile ya wanyama unapata kutoka 12:21-25

ngoja Heaven Sent atakuja kuandika hivyo vifungu



I Wakorintho 5: 7

Basi jisafisheni mkatoe ile chachu ya kale, mpate kuwa donge Jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa chachu. Kwa maana pasaka wetu amekwisha kutolewa kuwa sadaka, yaani Kristo

Kutoka 12: 21- 25
21: Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israel na kuwaambia nendeni mkajitwalie wana -kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkachinje pasaka

22: Nanyi twaeni tawi la hisopu, mkalichovye katika ile damu iliyo bakulini na kukipiga kizingiti cha jus, na miimo miwili ya mlango; kwa hiyo damu iliyo katika bakuli; tena mtu yeyote miongoni mwenu asitoke mlangoni mwa nyumba yake hata asubuhi

23: Kwa kuwa BWANA atapita ili awapige hao Wamisri; na Hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha jus, na katika ile miimo miwili, BWANA atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mwenye kuharibu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom